Tajiri Kichwa
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 9,020
- 22,093
Tafuta pesa then jenga furaha mpya inakayo itaji pesa na mapenzi iwe ziada...amini utakuwa na mapenzi ya furaha
Kuna quality na quantity inategemea unatafura nini hapo pamoja na hela zako
🤣🤣🤣 morning bebzBwege wa kwanza ni wewe usiyejua kuwa mapenzi ni suala mtambuka
Try brokeness bro! Ili uelewe vyema pesa ni nini🤣Money cant buy happiness
Sio kila kitu kama ushanunua kila utakacho na still zimejaa kwa bank. Ila kwa sie tunaozichanga ni balaa, personally tafsiri yangu juu ya hela ni opposite na mtazamo wako.Pesa siyo kila kitu. Inarahisisha mambo ila ni kazi kulainisha moyo wa mtu.
Dah....Ili uwe na furaha... lazima idara 4 zikamilike....[emoji2960]Money cant buy happiness
pesa na mapenzi ni matatizo mawili tofauti ambayo wapuuzi pekee hujaribu kuyaoanisha.Katika zama hizi ambapo wadada wanapenda hela kuliko kitu chochote chini ya jua hakika Mwanamke asikusumbue kama una PESA....Yani hata kama una kibamia Nasema ASIKUSUMBUEEE...!!
Akikusumbua mpaka unaomba ushauri wewe ni Bwegee.
Mwisho.
Good morning honey[emoji1787][emoji1787][emoji1787] morning bebz
Dah... mtambuka [emoji2960]Bwege wa kwanza ni wewe usiyejua kuwa mapenzi ni suala mtambuka
Mkuu mapenzi hisia kutoka moyoni. Utamshawishi mtu awe na wewe kwa sababu ya pesa zako lakin kihisia hayupo kabisa.Sio kila kitu kama ushanunua kila utakacho na still zimejaa kwa bank. Ila kwa sie tunaozichanga ni balaa, personally tafsiri yangu juu ya hela ni opposite na mtazamo wako.
Naunga hoja asilimia %1000Katika zama hizi ambapo wadada wanapenda hela kuliko kitu chochote chini ya jua hakika Mwanamke asikusumbue kama una PESA....Yani hata kama una kibamia Nasema ASIKUSUMBUEEE...!!
Akikusumbua mpaka unaomba ushauri wewe ni Bwegee.
Mwisho.