Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,402
- 191,522
Usiombee kukutwa na bwana pepsiPesa,chapaa ,mkwanja,mshiko..Omba Mungu upate hata ya kubadili mboga ,watoto wale ,huyo demu/sijui mke apate uhakika wa kwenda chooni,nina mfano wa jamaa yangu alimpenda mume wake kwa dhati na alikubali kuishi nae kwa maisha magumu
ila kumbuka haya maisha magumu ila ni standard life kibongo bongo,jamaa kashuka na upepo wa Magu,jamaa yake yupo kitaa,mwanamke anataka kula plus family..kipato cha wife wake cha kuunga ..aisee wife wake anapigwa na jamaa mwingine ili maisha yaende