BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,331
Jamani acheni masihara......kupendwa na mtu mwenye mapesa yake raha sana 🙂
Na pesa inapokimbia basi na raha zote zinakwisha na mrembo kusepa kivyake vyake! Penzi la pesa si penzi! halidumu na Wanaume wengi wakigundua kwamba umempenda kwa pesa zake na si mapenzi ya kweli basi itafikia wakati atakutekeleza tu na kukuacha na majonzi makubwa