Hapana Lizzy am thinking out of the BOX..., What's not Right to me.., Why Should it be Not Right for Others..., Nataka kutoa ile Hypocrisy ya watu kusema relations za watu sio za kweli au ni sababu ya fedha..., That Judgment ya watu kwamba they are right...., If two couples are happy who cares kama pesa ndio imewaunganisha???,Maybe my 85 years old would be loney na asingekuwa na yule Bibie mzuri kama isingekuwa pesa.., lakini who cares kama they are all happy.... Mmmmhh Lizzy tell me..... I can guarantee you my 85 year old friend will die a Happy Man all because ya huyu Bibie.....