Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

kimsingi pesa inatengeneza atraction

na atraction inaweza kuleta love baadae...

mtu anaweza kuja kwa ajili ya pesa na akajikuta ame fall for real....

wanasema

no finance,no romance.........
 
True very True....., Lakini tukiongelea vitu ambavyo ni permanent kwako, nadhani loyal familiy mtu kama Prince William na Harry Wamezaliwa kwenye pesa na watakufa kwenye pesa.., I can argue that is permanent to them.... Lakini point yangu ni kwamba yule anayempenda mtu kwa sababu ana sura nzuri au ni mcheshi asimcheke yule anayempenda mtu sababu ana wallet kubwa..., sababu zote ni features za attraction ambazo zinawavutia watu tofauti....Therefore community iache kuwaangalia watu hawa kama vile ni majambazi... au wezi au wanyonyaji..BTW I owe you a Thanks and a Like hazionekani kwako....
My dear Saa nyingine ni uwivu tu ..
 
manake mtu unatafuta pesa kwa udi na uvumba

ili iwepo tofauti kati yako na asiye nazo...

nitakuwa very dissapointed kama mimi ni milionaire
halafu mdada ananikataa anachagua fundi bomba...

pesa inakuwa haina maana lol
 
Yeahh kweli ni haki kabisa ndo maana namjua mdada aliyekimbia nchi mpaka mtoto kaacha kwasababu mume kaishiwa!Kupenda pesa za mtu sio sawa na kumpenda mtu.Hivyo hivyo kupenda sura/umbo la mtu sio sawa na kumpenda mtu ndio maana wapo watu wanaodiriki kuwaacha wenzi wao kwakua wameishiwa....miili imemomonyoka na sura haipo tena!
Nilitaka kusema kitu lakini nakushukuru kunisemea anti Lizzy!
 
Hahaha PJ mbona mshtuko mkubwa. Nimesema KUPENDWA NA....sio KUMPENDA Mtu kwa pesa zake. (au niseme kupendana na mtu mwenye pesa)

As a girl nakubali its nicekupendwa na mtu mwenye pesa, walau mnapata nguvu za kulichochea pendo lenu vizuri hasa kwa kuwa shida wakati mwengine zinaweza kuwa chanzo cha mifarakano kwenye mapenzi.

Hapo kwenye BLUE nakubaliana na wewe kabisa:

Hii mada imenifanya nifikirie zaidi ya ambavyo nilifikiri ningeweza kufikiria.. Nimejikuta napita baadhi ya vifungu vinavyohusiana na pesa kwenye Biblia.

Kwa mfano:
  • Wisdom and money can get you almost anything, but only wisdom can save your life. (Ecclesiastes (Mhubiri) 7:12).
  • A party gives laughter, wine gives happiness, and money gives everything! (Ecclesiastes (Mhubiri)10:19).
  • Wealth makes many "friends"; poverty drives them all away. (Proverbs (Mhubiri) 19:4).
  • The poor are despised even by their neighbors, while the rich have many "friends. (Proverbs(Mhubiri) 14:20).
Unaweza kuona kuwa PESA ni kivutio chenye ushawishi mkubwa kuliko hata sura, umbo au tabia.

Ni kweli wanaovutiwa na pesa wanaweza wakapata pa kujitetea. Pesa inaleta heshima, marafiki, furaha, amani,n.k.

Hii inanifanya sasa nipate motivation ya kufanya kazi kwa nguvu kupata PESA. (sabuni ya roho)..nawashauri vijana wenzangu, tufanye kazi tupate pesa. wapenzi wetu wakitukimbia kwa sababu ya umaskini wetu tusimlalamikie mtu. Hii ipo hata kwenye Biblia kama nilivyoonesha hapo juu. (samahani kwa mistari ya English, ila nimetoa mistari kwa kiswahili).

Kwa hiyo hao 'gold-diggers' inabidi tuwaangalie kwa jicho la pili pia


Angalizo:
Hekima (Wisdom) ndio kila kila kitu..Unaweza kuwa na pesa lakini kama hauna hekima ( Proverbs 28:11
Rich people may think they are wise, but a poor person with discernment can see right through them.)


Ujanja ni kutafuta vyote. Hekima na Pesa: Unaweza kuwa na hekima, lakini kama hauna pesa, ushawishi wako unapungua. Ndio maana Mungu alimpa Suleiman (Solomon) hekima na utajiri (pesa), ili awe na ushawishi kwenye jamii.
 
kimsingi pesa inatengeneza atractionna atraction inaweza kuleta love baadae...mtu anaweza kuja kwa ajili ya pesa na akajikuta ame fall for real....wanasema no finance,no romance.........
So not true!Ila mawazo kama haya ndo yanafanya mtumiwe kama ATM alafu mwisho wa siku mnalalamika wanawake wa siku hizi hawaishi kupiga mizinga.Hamtaki kugeuzwa biashara yet you have it embedded in your head that you can‘t get a girl to love you if you don‘t have some serius cash!
 
lakini hebu turudi tujiulize tena, labda upendo ni nini na mapenzi ni nini,
yawezekana jamii inatoa definition tofauti na jinsi wengine wanavyochukulia,

Anyway, utasikia wengine wanasema, simpendi yule bwana, nimependa pesa zake tu kwani ananitimizia kila kitu,
sasa nadhani ni vema tukawa na one stand hapa, mapenzi ni nini, na upendo ni nini?
Sasa Mkuu you are comig to my way of thinking...., Kama watu wana-definition tofauti za Love..., Sisi ni kina nani ya kuwaambia kwamba hiyo sio Love ya Kweli.., Mwingine akiona pesa na zile goodtimes anazopata akiwa na jamaa yeye ndio kafika Heaven.... huenda isiwe sawa kwangu mimi na wewe lakini Who are we to say otherwise...

Love is an emotion of strong affection and personal attachment. (according to the dictionary) Kwahiyo labda mtu anapenda jinsi jamaa anavyoweza kutafuta pesa na jinsi kila kitu anachokishika kinaturn into gold..... Je hiyo sio emotion of strong affection ya huyu dada/kaka kwa talent ya huyu bwana ya kutengeneza pesa??
 
So not true!Ila mawazo kama haya ndo yanafanya mtumiwe kama ATM alafu mwisho wa siku mnalalamika wanawake wa siku hizi hawaishi kupiga mizinga.Hamtaki kugeuzwa biashara yet you have it embedded in your head that you can‘t get a girl to love you if you don‘t have some serius cash!

niliandika nikuchokoze tu hapo
upooo?
missing u...lol
 
So not true!Ila mawazo kama haya ndo yanafanya mtumiwe kama ATM alafu mwisho wa siku mnalalamika wanawake wa siku hizi hawaishi kupiga mizinga.Hamtaki kugeuzwa biashara yet you have it embedded in your head that you can‘t get a girl to love you if you don‘t have some serius cash!

wisdom presides everything.. wengi wanafikiri akishakuwa na ushawishi wa pesa basi ndo anajua kila kitu. Atoe pesa yake,lakini kwa hekima.

Hekima ni kufanya maamuzi sahihi kwa wakati na mahali sahihi..
 
Yeah almost convinced na ninakubaliana na wewe uzuri wa mtu na pesa za mtu they are all materials things na zote tuziweke kwenye kapu moja...

Lakini hebu nieleze unavyoweza kupenda tabia, uzuri na personality ya mtu bila kumpenda mtu mwenyewe ??? Pia kupenda kwangu sura ya yule mwanamke ila kuchukia tabia yake its means priority yangu ni tabia..., Je huyu ninayempenda sana sababu ya tabia zake is it more true au nikiona mwenye tabia nzuri kuliko huyu nitawacha au akibalika tabia yake bado nitampenda?

Sidhani kama mapenzi yanakuwa influenced na kitu kimoja tu. Kama sura ni sura tu au kama ni pesa ni pesa tu (at least tabia ni mkusanyiko wa vitu vingi). So inawezekana kupenda sura ya mtu lakini usimpende yeye. Ni sura tu. Na hata hao wenye pesa ni wengi, na sio kama mtu kwa vile alimpenda mmoja kwa pesa zake ndo anaweza kumpenda mwengine yoyote madamu ana pesa.

Pesa, sura na mazagazaga mengine ni channel tu yakuingilia kwenye penzi. Huko kwenye penzi kuna bonge la matrix with complex relation and interactions of multitude of things hata vile ambavyo huwezi kuvisema.
 
AD, kumbuka mada ya VOR, inazungumzia penzi la pesa..........
MmhhhhTukirudi huko Penye penzi na pesa ni patamu..Lakini lakini kama hakuna penzi At list kuwe na pesa.. lakini hili Huyeyuka endapo pesa zimeondoka.. Na ile yakupenda pasipokuwa na kitu ni wachashe sana wamebakia. ...
 
So not true!Ila mawazo kama haya ndo yanafanya mtumiwe kama ATM alafu mwisho wa siku mnalalamika wanawake wa siku hizi hawaishi kupiga mizinga.Hamtaki kugeuzwa biashara yet you have it embedded in your head that you can‘t get a girl to love you if you don‘t have some serius cash!

I'm not saying money is everything, but it surely does help (to most girls)
 
Ahhhh mi hata sijui bana...ngoja nikalale!!Miss AFRO wa D naomba unijibie maswali yangu maana leo naona umeazima akili sijui ya nani!!
Hapana Lizzy am thinking out of the BOX..., What's not Right to me.., Why Should it be Not Right for Others..., Nataka kutoa ile Hypocrisy ya watu kusema relations za watu sio za kweli au ni sababu ya fedha..., That Judgment ya watu kwamba they are right...., If two couples are happy who cares kama pesa ndio imewaunganisha???,

Maybe my 85 years old would be loney na asingekuwa na yule Bibie mzuri kama isingekuwa pesa.., lakini who cares kama they are all happy.... Mmmmhh Lizzy tell me..... I can guarantee you my 85 year old friend will die a Happy Man all because ya huyu Bibie.....
 
Sasa Mkuu you are comig to my way of thinking...., Kama watu wana-definition tofauti za Love..., Sisi ni kina nani ya kuwaambia kwamba hiyo sio Love ya Kweli..

Yah, upo sahihi..kila mtu ana definition yake ya love. Mwingine kutoa pesa na kumpa mwanamke anaona amefanya love..Mwingine kumtembelea tu nyumbani kwake, hapo anatafsiri kwamba ni love..

Ni kwamba sio rahisi kupata maana sahihi au kumlazimisha mtu ni nini maana ya love..

Swali linalobakia ni je, upendo au mapenzi hayo ni ya kweli ???
 
hii true love sometimes is just a myth....
trust me...
 
Hapana Lizzy am thinking out of the BOX..., What's not Right to me.., Why Should it be Not Right for Others..., Nataka kutoa ile Hypocrisy ya watu kusema relations za watu sio za kweli au ni sababu ya fedha..., That Judgment ya watu kwamba they are right...., If two couples are happy who cares kama pesa ndio imewaunganisha???,

Maybe my 85 years old would be loney na asingekuwa na yule Bibie mzuri kama isingekuwa pesa.., lakini who cares kama they are all happy.... Mmmmhh Lizzy tell me..... I can guarantee you my 85 year old friend will die a Happy Man all because ya huyu Bibie.....

Asikwambie mtu VOR, zaidi ya nusu na robo ya wanawake watakupenda zaidi kama una pesa za kuspend kwake. :]]

As long as they are happy hakuna mtu anaetakiwa awahukumu, kama kapenda kwa pesa au kwa sura au kwa tabia, muhimu awe kapenda tu :]
 
Sasa Mkuu you are comig to my way of thinking...., Kama watu wana-definition tofauti za Love..., Sisi ni kina nani ya kuwaambia kwamba hiyo sio Love ya Kweli.., Mwingine akiona pesa na zile goodtimes anazopata akiwa na jamaa yeye ndio kafika Heaven.... huenda isiwe sawa kwangu mimi na wewe lakini Who are we to say otherwise...Love is an emotion of strong affection and personal attachment. (according to the dictionary) Kwahiyo labda mtu anapenda jinsi jamaa anavyoweza kutafuta pesa na jinsi kila kitu anachokishika kinaturn into gold..... Je hiyo sio emotion of strong affection ya huyu dada/kaka kwa talent ya huyu bwana ya kutengeneza pesa??
Achana na definition za dictionary....what‘s YOUR definition of love!?
 
Ahhhh mi hata sijui bana...ngoja nikalale!!Miss AFRO wa D naomba unijibie maswali yangu maana leo naona umeazima akili sijui ya nani!!
Teh teh teh We mtoto umeanzaa ae..Ngoja nichoke vizuri ntakutafutALala sama binti mchokozi lolz
 
Back
Top Bottom