Kaka Mpendwa
JF-Expert Member
- Jan 10, 2008
- 772
- 415
Asante kwa mada yako inayochokoza fikra na akili hasa.
Unachotaka ku-potray ni kwamba kama hauna 'material things' kama pesa, unaweza 'usipendwe', yaani ni kama vile mtu mwenye 'tabia mbaya' ambavyo anaweza kujikuta 'hapendwi'...
Kwa lugha nyingine kama mtu anavyoweza kumvutia msichana kwa u-handsome wake, basi pia wengine huvutia wasichana kwa pesa zao..
Kwa upande mmoja nakubaliana na mawazo yako.
Kwa upande mwingine inabidi nipate tofauti ya mapenzi na upendo
Nafikiri unaweza kupata mapenzi kwa pesa, lakini sio lazima yaambatane na upendo.
Ila ninaamini siku zote Upendo wa kweli utadumu hata kama pesa zitaisha au uzuri kuchakaa. Kwa hiyo nakubaliana na wewe kwa kiasi, kwa maana ya kwamba pesa inaweza kuwa 'kivutio' kama vile uzuri au tabia njema zinavyoweza kuwavuta wengine, lakini vyote hivyo haviwezi kukuhakikishia (guarantee) upendo wa kweli.
Unachotaka ku-potray ni kwamba kama hauna 'material things' kama pesa, unaweza 'usipendwe', yaani ni kama vile mtu mwenye 'tabia mbaya' ambavyo anaweza kujikuta 'hapendwi'...
Kwa lugha nyingine kama mtu anavyoweza kumvutia msichana kwa u-handsome wake, basi pia wengine huvutia wasichana kwa pesa zao..
Kwa upande mmoja nakubaliana na mawazo yako.
Kwa upande mwingine inabidi nipate tofauti ya mapenzi na upendo
Nafikiri unaweza kupata mapenzi kwa pesa, lakini sio lazima yaambatane na upendo.
Ila ninaamini siku zote Upendo wa kweli utadumu hata kama pesa zitaisha au uzuri kuchakaa. Kwa hiyo nakubaliana na wewe kwa kiasi, kwa maana ya kwamba pesa inaweza kuwa 'kivutio' kama vile uzuri au tabia njema zinavyoweza kuwavuta wengine, lakini vyote hivyo haviwezi kukuhakikishia (guarantee) upendo wa kweli.