Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Hapo ukweli ni 30% na ukiona ivyo ujue mwanaume anapigana kufa ili kumridhisha mwanamke ili apate heshima ya mke
Kama mke amesharidhika na ulivyo, kwanini mwanamme apigane kufa tena.
Tukubali ukweli wanao anza maisha pamoja wanavumiliana na kufika mbali, tofauti na yule anayekuta kila kitu kiko ndani, manyanyaso kitu kibaya sana.
 
Kama mke amesharidhika na ulivyo, kwanini mwanamme apigane kufa tena.
Tukubali ukweli wanao anza maisha pamoja wanavumiliana na kufika mbali, tofauti na yule anayekuta kila kitu kiko ndani, manyanyaso kitu kibaya sana.
nimependa hii 😎
 
Kuna saloon ninakwenda kusukwa nywele. Mmoja wa Wasusi wa pale amenizoea, alinipa namba yake akaniambia kama unataka kusuka nipigie simu tupange. Nilimpigia simu na tulipanga mimi niende kwake.

Anaishi kwenye chumba kimoja alichokipanga vizuri sana. Aliniambia anaishi na mume wake ambae ni kondakta mjini. Malengo yao ni mume kupata leseni ya udereva.

Tulipiga story za hapa na pale. Mume alirudi kutoka kazini. Bibi yule aliniomba radhi, alikwenda kumtengea mumewe chakula. Kwa heshima zote mume alinawishwa mikono baada ya ugali kuiva.

Baada ya kula mume alimsaidia mkewe kupanga nywele nilizosukwa. Tulipiga stori wakanieleza changamoto walizopitia kufikia pale. Niliwapa moyo kuwa ni wachache sana wanazaliwa na kukuta mali nyumbani wote tuna pigana.

Kwa kweli nilijisemea moyoni. Wawili hawa wanaishi kwa amani kuliko anaendesha vogue lakini amani nyumbani hakuna.
ni bahati mbaya pale kijana wa familia bora akipenda tandale/mbagala ama kijana maskini jeuri akipenda masaki/mbezi beach... ila kwa hii hadithi yako, hao wapo vizuri! kitu original hichi. namkumbuka mama Samia alipo ongelea jinsi anavyoishi kwake. Nina muheshimu sana na nimevua nyota zangu za u-meja nimemuwekea yeye pembeni 🙂 mwanamama/mwanamke wakipekee sana. katika shida na raha na katika cheo pia 😎
 
Ndio maana kila siku napiga magoti namuomba mungu anipe mke wangu wa ujana mwenye tabia kama hizo
 
Habari wanaJF,

Nina mpenzi wangu aliniomba pesa sio kama nilikuwa sina laa nilikuwa nayo but nikasema ngoja nimpime she real love me or nat?. Eeeh si nikamuambia sina hela kabisa
haha haha cha kuchekesha leo ni siku ya 5 no message no call hanitafuti. ha ha ha mapenzi sasa bila hela hakuna mapenzi.

Wanaume wenzangu mwanamke anakupendea hela sio wewe ukichukua wanawake 1000 ambao hawapendi hela yako hawafiki 10 so be careful mwanaume mwenzangu.

No money no honey
 
Back
Top Bottom