Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Kuna saloon ninakwenda kusukwa nywele. Mmoja wa Wasusi wa pale amenizoea, alinipa namba yake akaniambia kama unataka kusuka nipigie simu tupange. Nilimpigia simu na tulipanga mimi niende kwake.

Anaishi kwenye chumba kimoja alichokipanga vizuri sana. Aliniambia anaishi na mume wake ambae ni kondakta mjini. Malengo yao ni mume kupata leseni ya udereva.

Tulipiga story za hapa na pale. Mume alirudi kutoka kazini. Bibi yule aliniomba radhi, alikwenda kumtengea mumewe chakula. Kwa heshima zote mume alinawishwa mikono baada ya ugali kuiva.

Baada ya kula mume alimsaidia mkewe kupanga nywele nilizosukwa. Tulipiga stori wakanieleza changamoto walizopitia kufikia pale. Niliwapa moyo kuwa ni wachache sana wanazaliwa na kukuta mali nyumbani wote tuna pigana.

Kwa kweli nilijisemea moyoni. Wawili hawa wanaishi kwa amani kuliko anaendesha vogue lakini amani nyumbani hakuna.
So unamaanisha huyo mwanaume angekuwa na pesa aman kwa asilimia kubwa ingetoweka....


Pia sio kwamba familia zilizo na pesa hakuna Amani, ipo pia. Ni jinsi mwanaume anaweza ishi na familia yake na kuweka priorities mbele..

Ni kama vile kuna Mtu ana pesa na anawadharau watu au ambae anazo ila hadharau watu,
So hapa ni tabia ya Mtu binafsi na sio hela.

Kuna ambao wanaishi kama hiyo ndoa (pesa hakuna) ila kutwa ugomvi na aman haipo..

Mimi kwangu Upendo ni Tabia za mtu, awe ana pesa, awe hana, awe ana kibamia, awe ana bwawa, awe hajui kufanya, nk nk, Upendo jinsi wanavyopatana, kuhurumiana na kupendana...

MOYO HUCHAGUA
 
Eeeh Kweli kabisa bora kuwa na mume wa mtu tu uinjoy Maisha,kuliko kuwa na mwanaume ambaye Hana hela anajifanya anakupenda akizipata anakukimbia [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Wakati unaenjoy mwenzio anakutumiaaaa unakuja kushtuka huna wa kukaa naye unazagaa makongamano hadi wanakupa kazi ya kuandaa somo
 
dah wanawake wanafiki...hv umeandika kabisa na uso mkavu kabisa eti mapenzi yaa kweli hayazingatii pesa!!! haya
 
WanAwake bhana...thread nyingine utaona wanashabikia mwanaume asie na pesa wa nini? Thread ingine utasikia wanashabikia mapenzi bila pesa hayawezekani....thread ingine wanashabikia mwanaume mwenye pesa hafai atakunyanyasa! Hapa leo habari ya mjini ni MAPENZI YA KWELI HAYAZINGATII PESA!
 
Mapenzi ya kweli yapo nakumbuka nilipata mtoto mboga 7 kuna site moja mikocheni nilienda kupiga kibarua.sasa mtoto wa boss nikapiga saund kama mzaha akakubali kutimba jpl moja uswahilini, nikijua hawezi kuja na sijajiandaa mara simu yuko kitaa asee tumbo liliuma, godolo chini sina kitanda mkeka chini likafata godolo, isee ndoo mbili tatu na kiredio, nikaenda kumchukua kitaa mimacho kodo mtaamzima watu wananitizama ninavyo katiza nae, mpunga nikawa sina akatoa hela ya viepe nikaenda kuchukua fasta na barafu maji baridi kwenye jug, kilicho fuata sasa mzee baba ilikua shoo ya kusimamia kucha. Mtoto kalala usingizi mpaka nikasema kavuta nini? Itaendelea
 
Mapenzi ya kweli yapo nakumbuka nilipata mtoto mboga 7 kuna site moja mikocheni nilienda kupiga kibarua.sasa mtoto wa boss nikapiga saund kama mzaha akakubali kutimba jpl moja uswahilini, nikijua hawezi kuja na sijajiandaa mara simu yuko kitaa asee tumbo liliuma, godolo chini sina kitanda mkeka chini likafata godolo, isee ndoo mbili tatu na kiredio, nikaenda kumchukua kitaa mimacho kodo mtaamzima watu wananitizama ninavyo katiza nae, mpunga nikawa sina akatoa hela ya viepe nikaenda kuchukua fasta na barafu maji baridi kwenye jug, kilicho fuata sasa mzee baba ilikua shoo ya kusimamia kucha. Mtoto kalala usingizi mpaka nikasema kavuta nini? Itaendelea
 
Mwanaume lazima atombetombe nje awe masikini au tajiri,mapenzi bila comflicts hainogi hata akina mudy na ibrahim walitomba nje.
 
Mapenzi ya kweli yapo nakumbuka nilipata mtoto mboga 7 kuna site moja mikocheni nilienda kupiga kibarua.sasa mtoto wa boss nikapiga saund kama mzaha akakubali kutimba jpl moja uswahilini, nikijua hawezi kuja na sijajiandaa mara simu yuko kitaa asee tumbo liliuma, godolo chini sina kitanda mkeka chini likafata godolo, isee ndoo mbili tatu na kiredio, nikaenda kumchukua kitaa mimacho kodo mtaamzima watu wananitizama ninavyo katiza nae, mpunga nikawa sina akatoa hela ya viepe nikaenda kuchukua fasta na barafu maji baridi kwenye jug, kilicho fuata sasa mzee baba ilikua shoo ya kusimamia kucha. Mtoto kalala usingizi mpaka nikasema kavuta nini? Itaendelea
Nice script for Bongo Movie.....
 
WanAwake bhana...thread nyingine utaona wanashabikia mwanaume asie na pesa wa nini? Thread ingine utasikia wanashabikia mapenzi bila pesa hayawezekani....thread ingine wanashabikia mwanaume mwenye pesa hafai atakunyanyasa! Hapa leo habari ya mjini ni MAPENZI YA KWELI HAYAZINGATII PESA!
Ushaambiwa hata wenyewe hawajui wanataka nini
 
Inapendeza...

Uje utoe mrejesho wa maisha yao kama utafanikiwa kukutana nao tena baada ya wao kufanikiwa au kuzipata pesa...


Cc: mahondaw
 
Sifanyi utani, namaanisha naifanyia uchunguzi mimi nikiwa sample space(specimen) namba moja.

Hii ni kutokana uzoefu wangu kulingana na hii mada na nikapata jibu langu(lipo mfukoni/moyoni) ili nije nione kama majibu yatawiana au la.

Hahaha sawa ndugu yangu, kila la kheri
 
Back
Top Bottom