The patriot man
JF-Expert Member
- Aug 16, 2015
- 1,124
- 1,459
uko sahihi mkuu but ni wachache sana wenye hiyo tabia.Hapana mkuu
huyo alikua hakupendi ila alikua kimaslahi so alivyokuona huna kitu kaona amecheza karata sio
So alikua hana cha kusubiri zaidi ya kukuacha tu
Mapenzi sio pesa mkuu... ila pesa inaongeza nakshi na furaha ya mapenzi ila bila pesa mapenzi yanaweza kuwepo tena safi bila matatizo ni jinsi tu mtakavyoelewana wawili
Subiri ukipendwa kwa dhati utajua