Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,684
- 45,613
Kwakweli hakuna namna,..Morning to you baby
Tuwazoee tuu hakuna namna
Kwakweli hakuna namna,..Morning to you baby
Tuwazoee tuu hakuna namna
Hizo akili za kuzichezea labda ni za mabinti wa kijijini ama kizazi cha enzi za Gavana Charles Nyirabu. Hawa waliozaliwa zama za Gavana Daudi Balali utaisoma namba mzee!mabinti hawaitaj saana pesa ila wanahitaji ujue namna ya kucheza na akili zao na hapo ndipo utawafurahia vzur bila kutoa ht senti [emoji41][emoji41][emoji41]
jinsi nilivoulitaka akupendeee nn
chanzo ni kwamba sijampa pesa.Punguza kujisikia, ungemtafta ukajua sababu ilomfanya akaww hivo, usiishie tu conclude pengine na yeye anajisikia vibaya moyoni
Kivipi mkuu weka nyama kidogoInategemea MTU na MTU
Pesa ni tamu sana yani pesa nakupenda sanaNasikia pesa ni tamu nkizipata nitazilaje!!?
AmenPesa njooni kwangu, mnifuate na mnitumikie.
Pesa njooni kwangu, njooni kwa wingi, tena mke Na wale wenzenu wa UK, USA Na Europe.
Njooni kwa wingi mifukoni mwangu, kwenye account zangu Na Kila sehemu niliyosoma.
Njooni pesa mnitumikie, nitumikieni mashambani kwangu, kwenye biashara zangu Na kwenye Kila nilifanyalo.
Njooni pesa kwa njia yoyote ya halali. Njooni hata kwa Biko, Tatu mzuka, bet Na njia nyingine zozote.
Kwa Haya mafuta ya Koresh niliyonayo, msiende mbali nami kamwe.
Nyama nenda buchani mzeeeKivipi mkuu weka nyama kidogo
Hahahhahahaha Mungu tuokoeUnafkiri wanawake mafala wameisha??!!wanaovumilia hata ukiwa hauna pesa??!!kwani wanawake wangapi unawaona wanaishi na masela choka chafu??ukiwafata hawa madem wa kimjin wanaopiga make up sana ndio wanapenda pesa na hawafai kwa matumiz ya nyumbani
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Nyama nenda buchani mzeee