St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,637
- 4,521
siraha kubwa kabisa ni UONGO Maana kila jambo unalofanya ukilipamba na ka uongo kidogo mambo bam mbam.mf unalazimika kuvaa uhalisia wa jambo hata kama nigumu kiasi gani kwako.mfano wife/mpenzi anataka mwanaume mcheshi so inabidi umdamganye kwa kuvaa sura ya ucheshi kwa muda.
Lazima mwenza wako atakuwa na furaha sana mkuu na nimekutendea haki hapo juu,lakini waswahili husema njia ya mwongo ni fupi sijui ni vipi hapo