Twilumba
Platinum Member
- Dec 5, 2010
- 13,594
- 16,491
Nimeupenda ufafanuzi wako mkuu,maana hata mimi huwa nashangazwa napoona mdada mrembo kazi nzuri,mume mzuri lakini anajirusha na msela wa mtaani ambaye hana mbele wala nyuma,na kila nikijiuliza sipati jibu.
Kuna Maza mmoja nipo nae Kwa ofisi, tulisafiri nae juzi, so tukiwa field katika story story akalopoka hiyo kuwa amejua utamu wa mapenzi mwaka huu mwanzoni.
Nikajua hapa lazima amechakachuliwa na mchizi wa kitaa na nionavyoo hageuki tena ni kwa mchizi kwa kwenda mbele akihitaji kilele cha mapenzi!!!!