Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Mama mimi wala sihitaji kwenda huko maana kwa hali niliyonayo natamani atokee babu anayeweza kupunguza nguvu na si kuongeza........

Mmmmmmh mi ndo najua vizuri PM,
Nilikuwa tu sikuambia kwa sababu nilikuwa sijajua dawa yake.
Kumbe babu wa kule ana dawa ya kuongeza ufanisi bwana.

Nenda bwana,
 
Mmmmmmh mi ndo najua vizuri PM,
Nilikuwa tu sikuambia kwa sababu nilikuwa sijajua dawa yake.
Kumbe babu wa kule ana dawa ya kuongeza ufanisi bwana.

Nenda bwana,

Umesahau siku ile tulivyokuwa Sabasaba tukapitia katika babda la mchina akawa anatutangazia dawa ya Mao Ba nikakuuliza niichukue tukaitumie,kwa hasira ukaniuliza ukishaitumia halafu ulale chumbani kwa nani?
 
Umesahau siku ile tulivyokuwa Sabasaba tukapitia katika babda la mchina akawa anatutangazia dawa ya Mao Ba nikakuuliza niichukue tukaitumie,kwa hasira ukaniuliza ukishaitumia halafu ulale chumbani kwa nani?

Sasa si siku ile, we hujajua kwa nini jana nilikuwa najisomea gazeti.
Umeacha kunisikiliza siku hizi PM!!!
Ni kina nani hao wanakubadilisha!!!
 
Wanajamvi habari zenu,

Naomba nichangie Thread kama ifuatavyo;

Hisia, Pesa, Utanashati, Ucheshi na kila aina ya kikorobwezo ni catalyst tu lakini kiini cha vyote ni \Mwanamke kufika kileleni, coz unaweza kukaa na mwanamke kwa miaka kenda na asijue utamu wa Mapenzi kwa sababu tu hajawahi kufikishwa na ndio maana katika simulizi wakiwa saloon akiambiwa tu ile raha ya kufika kileleni walahi anakuacha na maucheshi yako na kila kitu anakwenda jaribu nje, walahi akifikishwa kileleni katika jaribio la kwanza kwenda nje ujue utabaki na maucheshi, utanashati na mautajiri yako na hata kama atakaa na wewe lakini lazima atakuwa anakwenda kuchakachuliwa kule anakofikishwa kileleni na zaidi atakuibia hayo mapesa na kuhamisha kidogo kidogo kwa jemba linalomfikisha kunako utamu wa penzi.

So the way unavyom-do vizuri na yeye kufika kileleni ndo siraha pekee.

Ni mtazamo wangu tu Jamaa zangu!!!
 
Sasa si siku ile, we hujajua kwa nini jana nilikuwa najisomea gazeti.
Umeacha kunisikiliza siku hizi PM!!!
Ni kina nani hao wanakubadilisha!!!


Nitamsikilza nani mwingine tena mama zaidi yako..
,naomba ruhusa basi leo jioni nipate kakonyagi kadogo mama..
 
Wanajamvi habari zenu,

Naomba nichangie Thread kama ifuatavyo;

Hisia, Pesa, Utanashati, Ucheshi na kila aina ya kikorobwezo ni catalyst tu lakini kiini cha vyote ni \Mwanamke kufika kileleni, coz unaweza kukaa na mwanamke kwa miaka kenda na asijue utamu wa Mapenzi kwa sababu tu hajawahi kufikishwa na ndio maana katika simulizi wakiwa saloon akiambiwa tu ile raha ya kufika kileleni walahi anakuacha na maucheshi yako na kila kitu anakwenda jaribu nje, walahi akifikishwa kileleni katika jaribio la kwanza kwenda nje ujue utabaki na maucheshi, utanashati na mautajiri yako na hata kama atakaa na wewe lakini lazima atakuwa anakwenda kuchakachuliwa kule anakofikishwa kileleni na zaidi atakuibia hayo mapesa na kuhamisha kidogo kidogo kwa jemba linalomfikisha kunako utamu wa penzi.

So the way unavyom-do vizuri na yeye kufika kileleni ndo siraha pekee.

Ni mtazamo wangu tu Jamaa zangu!!!




Nimeupenda ufafanuzi wako mkuu,maana hata mimi huwa nashangazwa napoona mdada mrembo kazi nzuri,mume mzuri lakini anajirusha na msela wa mtaani ambaye hana mbele wala nyuma,na kila nikijiuliza sipati jibu.
 
Nitamsikilza nani mwingine tena mama zaidi yako..
,naomba ruhusa basi leo jioni nipate kakonyagi kadogo mama..

Mmmmmh wewe, ngoja kwanza ni google maana ya hiyo kitu.
Babu njoo nisaidie, tafsiri ya hii kitu.
 
si umeona bro...hawa viumbe dhaifu, Mungu mwenyewe alishatuambia sisi wanaume mapema kabisa kuwa tuishi nao kwa akili la sivyo watatupoteza....na ukiwasikiliza ushauri wao wa kila kitu bila kuchambua, utajikuta kwenye shimo refu sana...ndio hawa wanatufanya sisi wanaume tunakula kwa jasho hawa, cha ajabu wao wamepewa adhabu ya kuzaa kwa tabu lakini wanataka kushare adhabu na sisi wanaume,..adhabu ya kutoa jasho ili kupata msosi....usawa ndo unawamaliza hawa viumbe...wanataka usawa na wanaume ati....wakipata pesa, zarau hizo huwezi amini.....dawa yao ni kuwa na pesa nyingi, kuwaambia kuwa unawapenda kukoko wote ili waridhike basi...na maisha yanaendelea mbele..ukisema mko sawa kama uyo mdada hapo juu kwamba kwasababu na wao wanazo pesa.....the way men wana handle pesa ni tofauti na the way women do...wao wakiwa na pesa mapepe tu...wanaume tukiwa na pesa tunaweza kushare na wao...wao chao ni chao...wanaume tukipata chetu ni chetu..unaona hapo viumbe hawa?
 
Nimeupenda ufafanuzi wako mkuu,maana hata mimi huwa nashangazwa napoona mdada mrembo kazi nzuri,mume mzuri lakini anajirusha na msela wa mtaani ambaye hana mbele wala nyuma,na kila nikijiuliza sipati jibu.

Si ndo maana nakwambia...........
Shauri yako :washing::washing::washing::washing:
 
Nielekeze nlipokuangusha nikakuinue mpenzi wangu mpya.

:embarassed2::embarassed2::embarassed2::embarassed2:Acha tu ntainuka mwenyewe!!!Mshike mkono mpenzi wa kudumu maana ndo anestahili!
 
si umeona bro...hawa viumbe dhaifu, Mungu mwenyewe alishatuambia sisi wanaume mapema kabisa kuwa tuishi nao kwa akili la sivyo watatupoteza....na ukiwasikiliza ushauri wao wa kila kitu bila kuchambua, utajikuta kwenye shimo refu sana...ndio hawa wanatufanya sisi wanaume tunakula kwa jasho hawa, cha ajabu wao wamepewa adhabu ya kuzaa kwa tabu lakini wanataka kushare adhabu na sisi wanaume,..adhabu ya kutoa jasho ili kupata msosi....usawa ndo unawamaliza hawa viumbe...wanataka usawa na wanaume ati....wakipata pesa, zarau hizo huwezi amini.....dawa yao ni kuwa na pesa nyingi, kuwaambia kuwa unawapenda kukoko wote ili waridhike basi...na maisha yanaendelea mbele..ukisema mko sawa kama uyo mdada hapo juu kwamba kwasababu na wao wanazo pesa.....the way men wana handle pesa ni tofauti na the way women do...wao wakiwa na pesa mapepe tu...wanaume tukiwa na pesa tunaweza kushare na wao...wao chao ni chao...wanaume tukipata chetu ni chetu..unaona hapo viumbe hawa?

Kama huna meno,usile bisi, kula Bwimbi yaani kimbugi. Uongozi ukikushinda waachie wanaoweza!
 
si umeona bro...hawa viumbe dhaifu, Mungu mwenyewe alishatuambia sisi wanaume mapema kabisa kuwa tuishi nao kwa akili la sivyo watatupoteza....na ukiwasikiliza ushauri wao wa kila kitu bila kuchambua, utajikuta kwenye shimo refu sana...ndio hawa wanatufanya sisi wanaume tunakula kwa jasho hawa, cha ajabu wao wamepewa adhabu ya kuzaa kwa tabu lakini wanataka kushare adhabu na sisi wanaume,..adhabu ya kutoa jasho ili kupata msosi....usawa ndo unawamaliza hawa viumbe...wanataka usawa na wanaume ati....wakipata pesa, zarau hizo huwezi amini.....dawa yao ni kuwa na pesa nyingi, kuwaambia kuwa unawapenda kukoko wote ili waridhike basi...na maisha yanaendelea mbele..ukisema mko sawa kama uyo mdada hapo juu kwamba kwasababu na wao wanazo pesa.....the way men wana handle pesa ni tofauti na the way women do...wao wakiwa na pesa mapepe tu...wanaume tukiwa na pesa tunaweza kushare na wao...wao chao ni chao...wanaume tukipata chetu ni chetu..unaona hapo viumbe hawa?




Mkuu mbona post yako inaonesha kama unawachukia hawa wapinzani wetu? Usiwachukie baba maana tulishaambiwa kuwa tuchukuliane mizigo kwa upendo.
 
Hapo ndio ninapompendea kiumbe dume maana huwa anajua kubembeleza hata kama amekosa na huwa anasamehewa kirahisi kweli...

Ahaaaaaaaaaaaaah
Kumbe huwa unanikosea ili nikusamehe eeh!!
Nimegundua!!!
 
Tobaaaaaaaaaa,ndio maana nilikuwa nikitoka zangu Njiro bora nizungukie kijenge ndio niende mjini kuliko kukatishia Themi na Unga LTD


Hamna lolote....UngaLTD ndo kila kitu!!!Njiro na sijui Kijenge hamna ishu ....kwanza hata huko vibaka wako tele.Aunti yangu aliwahi kuibiwa sufuria ya wali jikoni mtu anakumbia unaona mkaa tu wa pale juu!!!
 
si umeona bro...hawa viumbe dhaifu, Mungu mwenyewe alishatuambia sisi wanaume mapema kabisa kuwa tuishi nao kwa akili la sivyo watatupoteza....na ukiwasikiliza ushauri wao wa kila kitu bila kuchambua, utajikuta kwenye shimo refu sana...ndio hawa wanatufanya sisi wanaume tunakula kwa jasho hawa, cha ajabu wao wamepewa adhabu ya kuzaa kwa tabu lakini wanataka kushare adhabu na sisi wanaume,..adhabu ya kutoa jasho ili kupata msosi....usawa ndo unawamaliza hawa viumbe...wanataka usawa na wanaume ati....wakipata pesa, zarau hizo huwezi amini.....dawa yao ni kuwa na pesa nyingi, kuwaambia kuwa unawapenda kukoko wote ili waridhike basi...na maisha yanaendelea mbele..ukisema mko sawa kama uyo mdada hapo juu kwamba kwasababu na wao wanazo pesa.....the way men wana handle pesa ni tofauti na the way women do...wao wakiwa na pesa mapepe tu...wanaume tukiwa na pesa tunaweza kushare na wao...wao chao ni chao...wanaume tukipata chetu ni chetu..unaona hapo viumbe hawa?


Kama tungekua tunataka usawa haswa na wa kweli tungekua tunawazalisha na nyie!!!
 
Back
Top Bottom