Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Sasa babu, unakaaaaaaa weeeeeeeee, mpaka tunakosa majibu.
Ndo unakuja, Nashukuru, maana nimeambiwa Nijiandae,
kumbe tatizo ilikuwa ni wewe tu!!!

Nilikuwanimeenda loliondo kuongeza ufanisi wa hiki kimwaga mkojo ambacho bibi yenu ndo kakipa namba moja....kikidumaa wakware hawachelewi kunichakachulia kizalisha watoto wangu.
 
Nilikuwanimeenda loliondo kuongeza ufanisi wa hiki kimwaga mkojo ambacho bibi yenu ndo kakipa namba moja....kikidumaa wakware hawachelewi kunichakachulia kizalisha watoto wangu.




:lol::lol::lol: Babu kumbe na wewe ulienda kukarabati Pembejeo....
 
Unga ltd kwa mama Matejoo? Ukikaa pale wiki mbili kama hujanyweshwa gongo ya mavi ya ng'ombe dume, we kidume!



Tobaaaaaaaaaa,ndio maana nilikuwa nikitoka zangu Njiro bora nizungukie kijenge ndio niende mjini kuliko kukatishia Themi na Unga LTD
 
Tobaaaaaaaaaa,ndio maana nilikuwa nikitoka zangu Njiro bora nizungukie kijenge ndio niende mjini kuliko kukatishia Themi na Unga LTD

Hahahahah...tafazali usimwambie mwenye kwake kama nimemtukania mji wao.
 
Nilikuwanimeenda loliondo kuongeza ufanisi wa hiki kimwaga mkojo ambacho bibi yenu ndo kakipa namba moja....kikidumaa wakware hawachelewi kunichakachulia kizalisha watoto wangu.

Kwa hiyo sasa ufanisi umeongezeka babu.
Babu mchangie PM aende naye kuongeza ufanisi,
Muazime hata tukutuku lako hilo.
Manake naona dah,
 
Kwa hiyo sasa ufanisi umeongezeka babu.
Babu mchangie PM aende naye kuongeza ufanisi,
Muazime hata tukutuku lako hilo.
Manake naona dah,

Hahaha, siku hizi nimetajirika...namiliki bajaji. Nachoipendea bajaji yangu inakubali hata matairi ya trekta
 
Kwa hiyo sasa ufanisi umeongezeka babu.
Babu mchangie PM aende naye kuongeza ufanisi,
Muazime hata tukutuku lako hilo.
Manake naona dah,



Mama mimi wala sihitaji kwenda huko maana kwa hali niliyonayo natamani atokee babu anayeweza kupunguza nguvu na si kuongeza........
 
Hahaha, siku hizi nimetajirika...namiliki bajaji. Nachoipendea bajaji yangu inakubali hata matairi ya trekta

Dah hiyo hiyo babu,
Uokoe jahazi.
PM anatakiwa kuongeza ufanisi.
 
Back
Top Bottom