St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,994
- 5,233
Kuna mmoja kaniambia eti silaha kuu ya mwanaume ni kumroga mpenzii wako kabla hajakuroga yeye..
Na mwigine alimwambia ukizidi kunifuatafuata nitakuloga uwashwe miezi sita usiku na mchana..
piga machine vizuri tu. hela atatoa mwenyewe na mambo mengine mazuri atakufanyia.
Gaga huyo sijui alikuwa anawapa nini:lol::lol:Na mie rafiki yangu kabla hajaoa alikuwa anawapanga halafu wakipiga kelele anawaambia "itakucost" demu anatulia tuliiii. sijui alikuwa anawapa nn na walikuwa wa maana wasomi wazuri. sasa ameoa ametulia utadhani sio yeye.
Na mie rafiki yangu kabla hajaoa alikuwa anawapanga halafu wakipiga kelele anawaambia "itakucost" demu anatulia tuliiii. sijui alikuwa anawapa nn na walikuwa wa maana wasomi wazuri. sasa ameoa ametulia utadhani sio yeye.
Kuna mmoja kaniambia eti silaha kuu ya mwanaume ni kumroga mpenzii wako kabla hajakuroga yeye..
Gaga huyo sijui alikuwa anawapa nini:lol::lol:
Mmmmmh, kwa hiyo wanaume ni wachawi sio, Wanaloga!!!!
Manake hapa ni silaha kuu ya Mwanaume inatafutwa.
Kukudanganya nimekudanganya na ukajua kuwa nimekudanganya ukafurahi nilivyokudanganya kwa kuwa ulielewa nilivyokudanganya ndio maana wote tukaishia:lol::lol::lol: tukijua ilikuwa ni ZE KOMEDI
Aisee nimemkoli bibi yenu anayenipenda sana nikamuuliza hivi nimekamata bunduki yenye risasi gani mpaka ananimaind namna hii na kunigea kizalisha mtoto bure bileshi siku 24 kwa mwezi....kanambiaje ujue?
1. Baioloji.... Unajua kuitumia ninavyopenda na kila ninavyoihitaji hunibanii.
2. Ulimi....we u mcheshi sana mme wangu, afu hujui kutukana, kunikoromea wala kunidhalilisha
3. Kunijali.... mwepesi wa kujirudi unapokosea, masapraiz yako ndo haswaa, na unavyocheza na vibinti unaniua mazima
Nikamuuliza na kingine? Kanambia hivyo vingine wala haa sivijui:
Kwa mantiki hii, kwa kufuata order ya kuhesabu moja mpaka mwisho....kwa mujibu wa bibi yenu....Angalieni namba 1 hapo juu.
Narudi kitandani kumchum bibi enu!
Hivi mapenzi ni nini vile?
Hivi mapenzi ya kweli ni nini vile?
Hivi kuna mapenzi ya uongo?
Aisee nimemkoli bibi yenu anayenipenda sana nikamuuliza hivi nimekamata bunduki yenye risasi gani mpaka ananimaind namna hii na kunigea kizalisha mtoto bure bileshi siku 24 kwa mwezi....kanambiaje ujue?
1. Baioloji.... Unajua kuitumia ninavyopenda na kila ninavyoihitaji hunibanii.
2. Ulimi....we u mcheshi sana mme wangu, afu hujui kutukana, kunikoromea wala kunidhalilisha
3. Kunijali.... mwepesi wa kujirudi unapokosea, masapraiz yako ndo haswaa, na unavyocheza na vibinti unaniua mazima
Nikamuuliza na kingine? Kanambia hivyo vingine wala haa sivijui:
Kwa mantiki hii, kwa kufuata order ya kuhesabu moja mpaka mwisho....kwa mujibu wa bibi yenu....Angalieni namba 1 hapo juu.
Narudi kitandani kumchum bibi enu!
Shabash....!!!! Hapo ndio umuhimu wa wababu unapoonekana,nashukuru kwa kuwa kuna jambo nimejifunza hapo,LD jiandae......
Unastahili pongezi na bibi anastahili hongera!!
Aisee nimemkoli bibi yenu anayenipenda sana nikamuuliza hivi nimekamata bunduki yenye risasi gani mpaka ananimaind namna hii na kunigea kizalisha mtoto bure bileshi siku 24 kwa mwezi....kanambiaje ujue?
1. Baioloji.... Unajua kuitumia ninavyopenda na kila ninavyoihitaji hunibanii.
2. Ulimi....we u mcheshi sana mme wangu, afu hujui kutukana, kunikoromea wala kunidhalilisha
3. Kunijali.... mwepesi wa kujirudi unapokosea, masapraiz yako ndo haswaa, na unavyocheza na vibinti unaniua mazima
Nikamuuliza na kingine? Kanambia hivyo vingine wala haa sivijui:
Kwa mantiki hii, kwa kufuata order ya kuhesabu moja mpaka mwisho....kwa mujibu wa bibi yenu....Angalieni namba 1 hapo juu.
Narudi kitandani kumchum bibi enu!
Sasa babu, unakaaaaaaa weeeeeeeee, mpaka tunakosa majibu.
Ndo unakuja, Nashukuru, maana nimeambiwa Nijiandae,
kumbe tatizo ilikuwa ni wewe tu!!!
Rudi kule kagonge senksi basi.......