chamaclotus
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 1,146
- 2,338
Tutoke wote basi, maana mwenyewe sijampata wa kutoka naeHadi muda huu sijampata wa kuniambia SH nsomba kutoka na wewe. Njaa mbaya Sana.
Wenye zaidi ya mmoja watacomment kweli?
Nyie mtatoka na mizimu yenu n vimbolaNa sisi wagonga ulimbo(waganga njaa) tunaruhusiwa kuchagua wa kutoka nae?
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Jiachie wake wapo wengi wazuri sana waremboo wanannyaMimi moyo mpweke yaani, miaka yote hiii sijawahi tongoza JF.
Umejiandaa kutoka na nani..Hizi mada zimeshamiriii!!
Unauza code mkuuNdio ila kwa ID tofauti, maana kila ID ina demu wake
Hahaha. Lazima mtu afikishwe kule Kibo....!Eeh mama,Kuna Vita siku ya mtoko?😂
Mie natoka na mademu wanne hapa JF ila hawajuani mmoja ni mke wa afande, mwingine ni mwanachuo halafu wawili ni single mothers tena mmojawapo kazaa na mzungu
NB: wote hawa niliwapata kwa kutumia ID yangu nyingine tofauti na hii maana huwa nikitumia Id hii mademu wa Jf wananitosa kisa nauzaga majeneza ila nikitumia ile Id fake ambayo napendaga kuongelea maada za magari ya bei na safari za nje ya nchi huwa warembo wa humu wanaingia mkenge maana wengi wao wana tamaa halafu hata tukionana akaniona muonekano wangu (bonge japo sio kama Peter Msechu) hawa warembo wanaamini mie ni mfanyabiashara mkubwa wa magari hawajui kama ndo yule muuza majeneza na sanda wa hapa Dodoma






nimechekaaa hadi machoziii. Hizi mada zimeshamiriii!!




huna booking km mie shougaaaaaa?? Hebu tufanyee tukasafishee nyotaaaa mwayaaaa. Sema haki ya Mungu!!Tutoke wote basi, maana mwenyewe sijampata wa kutoka nae
Nileteeni sophy27 .Uzi unahusu kusema unatoka na Nani humu Dr!! Hayaa fongokaaa
Sasa hili nalo jipyaa hapa JF, kuwa kwamba kila ID ina demu wake, na sio hivyooo tyuuh bas ujue kila ID ina bwana ake,Unauza code mkuu









. Shtukaaaaaangoja Covid irudi ndio utatambua umuhimu wangu...nafaa kwa matumizi ya binadamu 😂 😂 😂 😂 😂Nkutamani ww Tangawizi uniwashe hapana aiseh.