tamuuuuu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 22,201
- 29,762
Mambo hayooooo
Mambo hayooooo
Sinaa shougaaangu nipo nimezubaa tyu!huna booking km mie shougaaaaaa?? Hebu tufanyee tukasafishee nyotaaaa mwayaaaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
😁😁😁witty acha masihara basi!!
Dada sijapata nguo ya sikukuu😂Amesikia wito anakujaaa
Msisahau makadirio yenu ya kujifungua yatakuwa September 2023 😂😂😂nipo nimekaa pale
Una bosi najua atasababishaaa😁😎😎!Dada sijapata nguo ya sikukuu😂
Kwakweli nashukuru Kwa ilo maana nilikuwa nasubiri wasiotakiwa niwaalike waje niwapikie ugali na dagaa X mas wapunguze majonzi 😂😂😂😂Una bosi najua atasababishaaa😁😎😎!
Umetisha!! Ugali dagaa nukseee 😁😁😁😁Kwakweli nashukuru Kwa ilo maana nilikuwa nasubiri wasiotakiwa niwaalike waje niwapikie ugali na dagaa X mas wapunguze majonzi 😂😂😂😂
😂😀Hauna mbambambaUmetisha!! Ugali dagaa nukseee 😁😁😁😁
kabesaaaaaaa..unavojua madikodikoo wataenjoyyyyyyy kinoma noma!😂😀Hauna mbambamba
Hapana shemeji, mim hapana nilichoma chanjo.ngoja Covid irudi ndio utatambua umuhimu wangu...nafaa kwa matumizi ya binadamu 😂 😂 😂 😂 😂
Jana nilikutana na mjaa mmpja hoi na hiyo makitu pamoja na chanjo...usitupe mbachao kwa msala upitao 😂 😂 😂 😂 😂 😂Hapana shemeji, mim hapana nilichoma chanjo.
🤣🤣🤣Hayo makitu nlishuhudia rfk angu mtoto wa kishua anatapika damu, peleka hosi hakua na shida yyte. Jamaa alidead aiseh bado mdg sanaJana nilikutana na mjaa mmpja hoi na hiyo makitu pamoja na chanjo...usitupe mbachao kwa msala upitao 😂 😂 😂 😂 😂 😂
Depal utanikubalia utoke na mimi?
Sifa zangu:
1)Mrefu wa 6'2
2)Mwembamba na mweusi kiasi
3)Nikicheka/nkitabasamu masikio, meno na sura Yangu nafanana na barak obama au pele
4)Sina hela.
Equation x naomba ukuye unibembelezee depal asinikimbie..
Ona sasawitty acha masihara basi!!
