Ha ha dada mzuri ahsante Kwa ushauri naufanyia kazi kuanzia Leo na ntaleta mrejeshoJiachie wake wapo wengi wazuri sana waremboo wanannya
ERoni ndio natamani nitokee naye ila mmh nitapigwa natafuta shidaa kabisa mwamba anataka mutu Fulani humu


huwezi kupigwa unique, sema ERoni ameshazeeka kwa sasa hana jipya. Wewe kigoli unahitaji kidume kweli kweli ili hata kikikuweka unasema yeah huyu ndio mwanaume.Naona bado unakaza fuvu,baadaye uje kusema huna kismati,Anne nikusaidie.huwezi kupigwa unique, sema ERoni ameshazeeka kwa sasa hana jipya. Wewe kigoli unahitaji kidume kweli kweli ili hata kikikuweka unasema yeah huyu ndio mwanaume.
Naona bado unakaza fuvu,baadaye uje kusema huna kismati,Anne nikusaidie.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app




Anne kwanza niache, hivi ungejua nitakusemea kwa Cillah, yeye ndio kila kitu, ana kila kitu changu!!
Tutatoka deartutoke babe![]()
Ila Anne mchokoziNaona bado unakaza fuvu,baadaye uje kusema huna kismati,Anne nikusaidie.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Chaaa!Anne kwanza niache, hivi ungejua nitakusemea kwa Cillah, yeye ndio kila kitu, ana kila kitu changu!!
Ila Anne mchokozi


Hahaha halafu apa anakuruka
Baadaye anakuja kutia huruma,hadi namtengenezea connection.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Hahahaa kweli tena, kama huamini mbonaSema haki ya Mungu!!
Yaani kaongo sana haka😂Hahaha halafu apa anakuruka
Nitakutafuta.Hahahaa kweli tena, kama huamini mbona
Sawa, nasubiria
Anajua sana kutunza rasilimali fedhaMimi nitatoka na financial services my beautiful baby