Utatoka na nani wa JF?

Utatoka na nani wa JF?

ERoni ndio natamani nitokee naye ila mmh nitapigwa natafuta shidaa kabisa mwamba anataka mutu Fulani humu
[emoji16][emoji16][emoji16] huwezi kupigwa unique, sema ERoni ameshazeeka kwa sasa hana jipya. Wewe kigoli unahitaji kidume kweli kweli ili hata kikikuweka unasema yeah huyu ndio mwanaume.
 
[emoji16][emoji16][emoji16] huwezi kupigwa unique, sema ERoni ameshazeeka kwa sasa hana jipya. Wewe kigoli unahitaji kidume kweli kweli ili hata kikikuweka unasema yeah huyu ndio mwanaume.
Naona bado unakaza fuvu,baadaye uje kusema huna kismati,Anne nikusaidie.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
[emoji16][emoji16][emoji16] huwezi kupigwa unique, sema ERoni ameshazeeka kwa sasa hana jipya. Wewe kigoli unahitaji kidume kweli kweli ili hata kikikuweka unasema yeah huyu ndio mwanaume.
Sema ERoni umeongoza kwa kuzimikiwa humu[emoji16][emoji16]

Sijui na mi nijilipue kwako?
 
Back
Top Bottom