Utatoka na nani wa JF?

Utatoka na nani wa JF?

Tunaopitaga kimyakimya humu naona hatuna soko...Na uzee huu ndio kabisa...kumbukeni mababu nao ni watu wanatamani hiyo mitoko
 
Si nasikia eti wa kimya kimya ndio mnaongoza kula totoz humu!
Huo ndio ukweli, hawa jamaa wao ni mwendo wa pm huko, wanaibua na kuwekana tu.

Mkuu kwani wewe unatoka na nani, najua mambo ya carbon copy yameisha ila haimaanishi kila kitu kimeisha😁
 
Huo ndio ukweli, hawa jamaa wao ni mwendo wa pm huko, wanaibua na kuwekana tu.

Mkuu kwani wewe unatoka na nani, najua mambo ya carbon copy yameisha ila haimaanishi kila kitu kimeisha😁
Mie yeyote atakaye nionea huruma Tu....mzigo wa kwenda popote upo...Ila nijue mapema ili nijue namuaga vipi Bibie hapa maskani
 
Mnavyojua tena mwisho wa mwaka, huwa kuna mambo mengi; ata kama ni bahili sana, itabidi kujichanga changa hata kidogo, angalau nawe uweze kusherehekea pale panapo wezekana.

Na sherehe inafana zaidi, pale unapokuwa na kampani au mwenza wako wa karibu.

Kwa upande wangu, mi nitatoka na huyu mdada mrembo matata yumo humu, mwenye sifa zifuatazo; ni mrefu wa wastani, umbo namba nane, mguu wa bia, weupe wa wastani, ana nywele ndefu, aombi sana ela, anaongea kwa staa, na anajua kushukuru hata kwa kile kidogo.

Kwa hisani ya huyo mrembo, atawapungia mkono popote pale ulipo.

Je wewe, utatoka na nani?

Wakati ukiwa unajishauri, pata kiburudisho:-

Yeyote atakaye kuwa tayari kufanyiwa kufunguliwa nitatoka naye
 
Back
Top Bottom