Was kind of joking SirUnfortunately Lying, lies and being fake is not my strong suit Ma'am
Lakini nyie ma'ams hua mnapenda zaidi yale yasiyo halisi kuliko uhalisia wenyewe etiWas kind of joking Sir
Don’t take it so serious
Sio kweli bana maana at the end mambo yanakuja kua wazi tuuLakini nyie ma'ams hua mnapenda zaidi yale yasiyo halisi kuliko uhalisia wenyewe eti
My forever ♥! I'll take you to heavens wallah.
Usijali kuhus hilo kuonyesha msisitizo wacha mimi nije piemu mwenyeweBasi kumbe naweza pata pm bila hata kwenda kwenye yale majukwaa uliyotaja eti🤗
🤣🤣🤣🤣🤣 hivi Bujibuji Simba Nyamaume una nini lakini, haki nimecheka balaaSkylar ni PhD holder wa ukweli, mfanyabiashara mwenye miradi yake, yuko determined apige mizinga ya nini?
Bank wanamuomba wampe Letter of credit kwa security ya fixed deposits alizonazo kwenye commercial banks mbalimbali na central bank
Acha tucheke tu, maisha ni haya haya🤣🤣🤣🤣🤣 hivi Bujibuji Simba Nyamaume una nini lakini, haki nimecheka balaa
Kabisaa, tena mwisho huu mwaka ngoja tucheke sana ili tuongeze mwaka mwingineAcha tucheke tu, maisha ni haya haya
Ndio yeye love🤣🤣🤣My forever ♥! I'll take you to heavens wallah.
Hivi huyu mtoto ndio.....? Mbona kanapenda kubadilisha nguo kila siku..