Utatoka na nani wa JF?

Utatoka na nani wa JF?

Mnavyojua tena mwisho wa mwaka, huwa kuna mambo mengi; ata kama ni bahili sana, itabidi kujichanga changa hata kidogo, angalau nawe uweze kusherehekea pale panapo wezekana.

Na sherehe inafana zaidi, pale unapokuwa na kampani au mwenza wako wa karibu.

Kwa upande wangu, mi nitatoka na huyu mdada mrembo matata yumo humu, mwenye sifa zifuatazo; ni mrefu wa wastani, umbo namba nane, mguu wa bia, weupe wa wastani, ana nywele ndefu, aombi sana ela, anaongea kwa staa, na anajua kushukuru hata kwa kile kidogo.

Kwa hisani ya huyo mrembo, atawapungia mkono popote pale ulipo.

Je wewe, utatoka na nani?
Mie natoka na mademu wanne hapa JF ila hawajuani mmoja ni mke wa afande, mwingine ni mwanachuo halafu wawili ni single mothers tena mmojawapo kazaa na mzungu
NB: wote hawa niliwapata kwa kutumia ID yangu nyingine tofauti na hii maana huwa nikitumia Id hii mademu wa Jf wananitosa kisa nauzaga majeneza ila nikitumia ile Id fake ambayo napendaga kuongelea maada za magari ya bei na safari za nje ya nchi huwa warembo wa humu wanaingia mkenge maana wengi wao wana tamaa halafu hata tukionana akaniona muonekano wangu (bonge japo sio kama Peter Msechu) hawa warembo wanaamini mie ni mfanyabiashara mkubwa wa magari hawajui kama ndo yule muuza majeneza na sanda wa hapa Dodoma
 
Mnavyojua tena mwisho wa mwaka, huwa kuna mambo mengi; ata kama ni bahili sana, itabidi kujichanga changa hata kidogo, angalau nawe uweze kusherehekea pale panapo wezekana.

Na sherehe inafana zaidi, pale unapokuwa na kampani au mwenza wako wa karibu.

Kwa upande wangu, mi nitatoka na huyu mdada mrembo matata yumo humu, mwenye sifa zifuatazo; ni mrefu wa wastani, umbo namba nane, mguu wa bia, weupe wa wastani, ana nywele ndefu, aombi sana ela, anaongea kwa staa, na anajua kushukuru hata kwa kile kidogo.

Kwa hisani ya huyo mrembo, atawapungia mkono popote pale ulipo.

Je wewe, utatoka na nani?
Embu mtaje maana ushanchanganyia mambo. Hayo masifa uliyoyasema yanafanana na nnayetaka kutoka naye
 
Mnavyojua tena mwisho wa mwaka, huwa kuna mambo mengi; ata kama ni bahili sana, itabidi kujichanga changa hata kidogo, angalau nawe uweze kusherehekea pale panapo wezekana.

Na sherehe inafana zaidi, pale unapokuwa na kampani au mwenza wako wa karibu.

Kwa upande wangu, mi nitatoka na huyu mdada mrembo matata yumo humu, mwenye sifa zifuatazo; ni mrefu wa wastani, umbo namba nane, mguu wa bia, weupe wa wastani, ana nywele ndefu, aombi sana ela, anaongea kwa staa, na anajua kushukuru hata kwa kile kidogo.

Kwa hisani ya huyo mrembo, atawapungia mkono popote pale ulipo.

Je wewe, utatoka na nani?
skyler
 
Back
Top Bottom