FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,063
- 40,724
Nilishasema since day 1, hii tozo mpya haimalizi huu mwaka
Hivi gharama za kununulia rangi za kuchafulia mazingira kwa kupaka mawe ya nchi nzima alizitoa wapi?Atoke Tegeta kwetu, akakae kwenye mawe aliyojichora na kuniandika barabarani
Umejuaje hilo kama hawajatamka, au umeota tu?Haajatoa tamko ka kusitisha ila wamesikia kilio watakaa kujadili.
Nani alisaini hiyo sheria ya kichaa namna hiyo?! Au ni Mwigulu pekee?Wali mwambia kikinuka we utajifanya kuokoa jahazi
Unapimaje kina cha maji kwa kutumbukiza miguu!?Alikuwa anapima upepo
Sijaweza kukopi kipengele cha katiba kinachompa mamlaka hayo Rais ....lakin Nina uhakika asilimia mia kuwa ana mamlaka hayo ....harafu ile yarate Magufuli ilikuwa tayari sheria sio kanuni Mana ilipitishwa na bunge na kusainiwa na yy mwenyewRais Magufuli alisitisha kanuni iliyokuwa imeleta hicho kikokotoo kipya, hakikuwa kimewekwa kwenye sheria (correct me if I'm wrong) sina uhakika kama Rais ana mamlaka ya kusitisha sheria kufanya kazi...kama inawezekana naomba unisaidie kunionyesha ni wapi mamlaka hayo yameainishwa....
Bunge lipi lililopitisha hiyo sheria?. Hili hili genge la watu fulani?. Hivi hawa wanaojiita majitu wabunge kitu walichokipitishia,wananchi wanakigomea 100% huwa wanajionaje?,wanajisikiaje?Muambieni mama asiivunje katiba, suala la tozo ni la kisheria...kama bunge lilijadili na kuridhia huo muswada, na yeye akatia saini basi sheria itekelezwe kama inavyosema. Mambo ya kupitisha kanuni ama kuisimamisha sheria ya hizi tozo ni kutunyima haki yetu ya msingi !
Hii ni typical Magu style, anaanzisha tatizo kisha analitatua kutafuta kiki kama ilivyokuwa kwenye sakata la kikokotooKuna taarifa zinazopotosha kuwa Raisi eti kaingilia kati suala la Tozo, jambo hili si sahihi kuliweka au kulifanya lieleweke hivi.
Raisi alijua kila kitu na documents aliziona pia. Kwahio tukubali tu kuwa CCM walichemka na credit ziende kwa Upinzani
View attachment 1860029
View attachment 1860030
Huyu mmang'ati boya sanaAmesikia kilio gani? Mwigulu Nchemba wacha kumshusha hadhi raisi kuwa hajui kilichofanyika, yaani Raisi wa nchi hakujua kuwa kuna Tozo itapitishwa? Like serious?
View attachment 1860032
Hivi Rais ana mamlaka ya kufuta sheria iliyopitishwa na bunge baada ya yeye kuisaini?Sijaweza kukopi kipengele cha katiba kinachompa mamlaka hayo Rais ....lakin Nina uhakika asilimia mia kuwa ana mamlaka hayo ....harafu ile yarate Magufuli ilikuwa tayari sheria sio kanuni Mana ilipitishwa na bunge na kusainiwa na yy mwenyew
Ndio mmegundua leo, hii?!Kwa ujumla wengi wameona hapa hatuna Rais..
Nilishasema since day 1, hii tozo mpya haimalizi huu mwaka
Uzuri haya mambo hayawapati wana CCM. Wapinzani tu ndio yanawapata.Basi piga hesabu ya hizo gharama alafu bado wanasema mwezi August na line za simu zitaanza kutozwa kodi ,yuko sawa huyu jamaa !
Tengeneza tatizo halafu litatue , mule mule kwa Mwendazake in copy and paste.
Majibu HAYA HAPaMi nimetafakari kwa kina sana ila nimeshindwa kupata jibu. Yafuatayo najiuliza
1. Mh. Rais alisaini au hakusaini hiyo sheria ya TOZO mpya?
2. Kama alisaini, je alikuwa anapima upepo wa wananchi?
3. Je, ni political tension?
4. Je, itakuwa imemuongezea asilimia za kuupiga mwingi?
Kama kuna mtu anaweza kuongeza maswali na majibu.
Asante.
Hili ndilo lololol kuuHatuna shida na majibu ya maswali hayo, tuna shida na tozo kuondokewa tu, Basi..