Wanatuona sie hatuna akiliSijawahi kumwelewa huyu jamaa huwa anazidi kuniudhi kwakujiona yeye ni mzalendo,ila hana uzalendo wa aina yoyote ile
Nadhani hajui hata maana ya neno kodi ,hivi kasomoea nini huyu?Wanatuona sie hatuna akili
Wanatuona sie hatuna akiliSijawahi kumwelewa huyu jamaa huwa anazidi kuniudhi kwakujiona yeye ni mzalendo,ila hana uzalendo wa aina yoyote ile
Usimlaumu, hana exposure yoyote ile labda ya kuchunga ng'ombeNadhani hajui hata maana ya neno kodi ,hivi kasomoea nini huyu?
Rais anamamlaka ya kusitisha sheria flani isitumike ..kwa mji wa katiba ...like late Magufuli alivyositisha sheria ya kikokotoo kipya kutumikaMuambieni mama asiivunje katiba, suala la tozo ni la kisheria...kama bunge lilijadiri na kuridhia huo muswada, na yeye akatia saini basi sheria itekelezwe kama inavyosema. Mambo ya kupitisha kanuni ama kuisimamisha sheria ya hizi tozo ni kutunyima haki yetu ya msingi !
Kuupiga mwingi ina maanisha nn mkuu, naona linatumima sana ila sijawah lipata
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu inawezekana hujafanya muhamala wowote kwa simu? Yeye anaongelea hili swala kikawaida sana ,ajihuzulu hiyo wizara ina mwenyeweWanatuona sie hatuna akili
Usimlaumu, hana exposure yoyote ile labda ya kuchunga ng'ombe
Haajatoa tamko ka kusitisha ila wamesikia kilio watakaa kujadili.
Nimefanya zaiidi ya miamala 15Mkuu inawezekana hujafanya muhamala wowote kwa simu? Yeye anaongelea hili swala kikawaida sana ,ajihuzulu hiyo wizara ina mwenyewe
Huu ni udhaifu,mimi ningekomaa na hakuna ningebadilisha,Nchi haiwezekani kwenda kwa kubembeleza walipa kodiKuna taarifa zinazopotosha kuwa Raisi eti kaingilia kati suala la Tozo, jambo hili si sahihi kuliweka au kulifanya lieleweke hivi.
Raisi alijua kila kitu na documents aliziona pia. Kwahio tukubali tu kuwa CCM walichemka na credit ziende kwa Upinzani
View attachment 1860029
View attachment 1860030
Basi piga hesabu ya hizo gharama alafu bado wanasema mwezi August na line za simu zitaanza kutozwa kodi ,yuko sawa huyu jamaa !Nimefanya zaiidi ya miamala 15
Rais Magufuli alisitisha kanuni iliyokuwa imeleta hicho kikokotoo kipya, hakikuwa kimewekwa kwenye sheria (correct me if I'm wrong) sina uhakika kama Rais ana mamlaka ya kusitisha sheria kufanya kazi...kama inawezekana naomba unisaidie kunionyesha ni wapi mamlaka hayo yameainishwa....Rais anamamlaka ya kusitisha sheria flani isitumike ..kwa mji wa katiba ...like late Magufuli alivyositisha sheria ya kikokotoo kipya kutumika