Utamu wa mwanamke ni upi?

Utamu wa mwanamke ni upi?

Yaani mfano mzuri mwangalie Bill Clinton na Monica, ingawa mke wake pia alikuwa mzuri na kila kitu
Lakini jamaa akachepuka
Usimlazimishe akupende kwa kumpa kila kitu kwani huyo sio mtumwa wako
Subiri ukipendwa na muuza mboga huyo huyo ndio umgande maana ndio litakuwa pendo la kweli kwenu

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Shepu, msambwanda, miguu, sura, viuno, kauli, adabu, mapishi, usafi, hofu ya Mungu, uadilifu, tabia njema, utulifu, unadhifu au nini hasa?
Mwanamke aweje ili mumewe asichepuke?
Ni utamu gani hasa mnaoutaka?
Maana hata nikiwa na sifa zote hizo bado MTU anachepuka, gari nimemnunulia, anakaa prime area, pocket money nimemwesha yaani hajapungukiwa, but utulivu zero brain kabisa.
Ina maana una vyote hivyo?


Wadanganye wajinga
 
Shepu, msambwanda, miguu, sura, viuno, kauli, adabu, mapishi, usafi, hofu ya Mungu, uadilifu, tabia njema, utulifu, unadhifu au nini hasa?
Mwanamke aweje ili mumewe asichepuke?
Ni utamu gani hasa mnaoutaka?
Maana hata nikiwa na sifa zote hizo bado MTU anachepuka, gari nimemnunulia, anakaa prime area, pocket money nimemwesha yaani hajapungukiwa, but utulivu zero brain kabisa.

Kwa lugha nyingine wewe ndo umemuoa huyo mwanaume. Maana mpaka unamuwezesha hela, umemnunulia gari. Haki ya nani. dunia simama nishuke
 
Kama ni hawa uzao wa Adam.. Hata uwape vyote hivyo na ziada ya matundu yote saba... Bado hawatariridhika.... Kumbuka mfalme Suleiman alibarikiwa hekima na utajiri na wake wa ndoa 300 lakini bado akaongeza masuria 3000....

Jr
He he! Kumbe,ndo maana yalikushinda uu nzao ya Adam au yeye.? 😂😂😂😂😂
Jaribu kurusha vitunguli mixer bima za afya aka h i r i z i
 
Shepu, msambwanda, miguu, sura, viuno, kauli, adabu, mapishi, usafi, hofu ya Mungu, uadilifu, tabia njema, utulifu, unadhifu au nini hasa?
Mwanamke aweje ili mumewe asichepuke?
Ni utamu gani hasa mnaoutaka?
Maana hata nikiwa na sifa zote hizo bado MTU anachepuka, gari nimemnunulia, anakaa prime area, pocket money nimemwesha yaani hajapungukiwa, but utulivu zero brain kabisa.
atajwe huyo kiumbe aliepewa yote hayo hlf haoni utamu wako! Mtaje..
 
So you want to fight nature ooo....!! In Nigerian voice
 
Shepu, msambwanda, miguu, sura, viuno, kauli, adabu, mapishi, usafi, hofu ya Mungu, uadilifu, tabia njema, utulifu, unadhifu au nini hasa?
Mwanamke aweje ili mumewe asichepuke?
Ni utamu gani hasa mnaoutaka?
Maana hata nikiwa na sifa zote hizo bado MTU anachepuka, gari nimemnunulia, anakaa prime area, pocket money nimemwesha yaani hajapungukiwa, but utulivu zero brain kabisa.
Man wants changes with ages. You need personal research to these changes to maintain compartibility.


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom