Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 15,475
- 33,038
Mbona wewe unapokuwa busy huwa nakuelewa mummy!, forgive me, am sorry
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya dadii,usiseme mengi hapa kuna watoto, twende zetu chumbani..lol
Mbona wewe unapokuwa busy huwa nakuelewa mummy!, forgive me, am sorry
Sent using Jamii Forums mobile app
Ina maana una vyote hivyo?Shepu, msambwanda, miguu, sura, viuno, kauli, adabu, mapishi, usafi, hofu ya Mungu, uadilifu, tabia njema, utulifu, unadhifu au nini hasa?
Mwanamke aweje ili mumewe asichepuke?
Ni utamu gani hasa mnaoutaka?
Maana hata nikiwa na sifa zote hizo bado MTU anachepuka, gari nimemnunulia, anakaa prime area, pocket money nimemwesha yaani hajapungukiwa, but utulivu zero brain kabisa.



Shepu, msambwanda, miguu, sura, viuno, kauli, adabu, mapishi, usafi, hofu ya Mungu, uadilifu, tabia njema, utulifu, unadhifu au nini hasa?
Mwanamke aweje ili mumewe asichepuke?
Ni utamu gani hasa mnaoutaka?
Maana hata nikiwa na sifa zote hizo bado MTU anachepuka, gari nimemnunulia, anakaa prime area, pocket money nimemwesha yaani hajapungukiwa, but utulivu zero brain kabisa.
Hukuiona ile video ambayo hadi
Ukwel ni huu dada angu.....sisi wanaume tuna nguv mbili ndan yetu,kupenda na kutaman,ila nguv ya kutaman imezid kupenda,so naweza nkakupenda saaana ila na bado nikamsarandia hausigel tena ambae hata perfume haijui..tamaaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
He he! Kumbe,ndo maana yalikushinda uu nzao ya Adam au yeye.? 😂😂😂😂😂Kama ni hawa uzao wa Adam.. Hata uwape vyote hivyo na ziada ya matundu yote saba... Bado hawatariridhika.... Kumbuka mfalme Suleiman alibarikiwa hekima na utajiri na wake wa ndoa 300 lakini bado akaongeza masuria 3000....
Jr![]()
atajwe huyo kiumbe aliepewa yote hayo hlf haoni utamu wako! Mtaje..Shepu, msambwanda, miguu, sura, viuno, kauli, adabu, mapishi, usafi, hofu ya Mungu, uadilifu, tabia njema, utulifu, unadhifu au nini hasa?
Mwanamke aweje ili mumewe asichepuke?
Ni utamu gani hasa mnaoutaka?
Maana hata nikiwa na sifa zote hizo bado MTU anachepuka, gari nimemnunulia, anakaa prime area, pocket money nimemwesha yaani hajapungukiwa, but utulivu zero brain kabisa.
He he! Kumbe,ndo maana yalikushinda uu nzao ya Adam au yeye.?
Jaribu kurusha vitunguli mixer bima za afya aka h i r i z i









Man wants changes with ages. You need personal research to these changes to maintain compartibility.Shepu, msambwanda, miguu, sura, viuno, kauli, adabu, mapishi, usafi, hofu ya Mungu, uadilifu, tabia njema, utulifu, unadhifu au nini hasa?
Mwanamke aweje ili mumewe asichepuke?
Ni utamu gani hasa mnaoutaka?
Maana hata nikiwa na sifa zote hizo bado MTU anachepuka, gari nimemnunulia, anakaa prime area, pocket money nimemwesha yaani hajapungukiwa, but utulivu zero brain kabisa.
Ha ha ha poleTo.mba kwa kiasi, na km wewe kito.mbi usioe. Simple
Unatoa wapi nguvu za kufuga mwanaume lakini?sina hivyo vyote ila nimefuga majoka
achana na Hugo asiyejua thamani yako njoo kwangusina hivyo vyote ila nimefuga majoka