Utamu wa mwanamke ni upi?

Utamu wa mwanamke ni upi?

tupia jisura lako tuli-analyse
Isije ikawa black mamba.........mamba hafugi samaki


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ili mwanaume asichepuke inatakiwa kwanza awe na hofu ya Mungu, pili ampende mkewe. Hilo tu hakuna lingine.
 
Shepu, msambwanda, miguu, sura, viuno, kauli, adabu, mapishi, usafi, hofu ya Mungu, uadilifu, tabia njema, utulifu, unadhifu au nini hasa?
Mwanamke aweje ili mumewe asichepuke?
Ni utamu gani hasa mnaoutaka?
Maana hata nikiwa na sifa zote hizo bado MTU anachepuka, gari nimemnunulia, anakaa prime area, pocket money nimemwesha yaani hajapungukiwa, but utulivu zero brain kabisa.
Kama amekupa zawadi ya mtoto sema na itoshe. Gari ni tool of work...sio status ya aliyenunua
 
Dada asikudanganye mtu,asili yetu n kutaman tu,hata uwe na msambwanda vp au ukamilike au uwe mzur wa aina yoyote ile kuchepuka n lazma,ila vzur upate anaejua kuchepuka kwa siri ili usiumie moyo,wew mwenyewe ukifuga kuku au ng'ombe utanunua dume moja ila majike weng,hlo dume litawapitia wooote,binadam pia ndo tulivyo dada[/QUOTE
noma sana
 
Utamu wa mwanamke ni Papuchi
Shepu, msambwanda, miguu, sura, viuno, kauli, adabu, mapishi, usafi, hofu ya Mungu, uadilifu, tabia njema, utulifu, unadhifu au nini hasa?
Mwanamke aweje ili mumewe asichepuke?
Ni utamu gani hasa mnaoutaka?
Maana hata nikiwa na sifa zote hizo bado MTU anachepuka, gari nimemnunulia, anakaa prime area, pocket money nimemwesha yaani hajapungukiwa, but utulivu zero brain kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom