Asili ya mwanaume ni kutamani yani hata akioa Malaika then akakatisha shetani wa kike bado atamtamani tu!.
Tunachotofautiana ni uvumilivu na uoga wa magonjwa! Leo hii Ukimwi upatiwe dawa mtazijua tabia zetu vizuri!..
Shepu, msambwanda, miguu, sura, viuno, kauli, adabu, mapishi, usafi, hofu ya Mungu, uadilifu, tabia njema, utulifu, unadhifu au nini hasa?
Mwanamke aweje ili mumewe asichepuke?
Ni utamu gani hasa mnaoutaka?
Maana hata nikiwa na sifa zote hizo bado MTU anachepuka, gari nimemnunulia, anakaa prime area, pocket money nimemwesha yaani hajapungukiwa, but utulivu zero brain kabisa.















Wanawake siku hizi wana hudumiaDada asikudanganye mtu,asili yetu n kutaman tu,hata uwe na msambwanda vp au ukamilike au uwe mzur wa aina yoyote ile kuchepuka n lazma,ila vzur upate anaejua kuchepuka kwa siri ili usiumie moyo,wew mwenyewe ukifuga kuku au ng'ombe utanunua dume moja ila majike weng,hlo dume litawapitia wooote,binadam pia ndo tulivyo dada











hii ulisoma wapi mkuru maana naona chai kibao, wake 300, badala ya700, masuria 3000 badala ya300, unamaanisha jumla alikuw na wanawake 3300 wakati alikuwa na 1000 tu!!!!!Kama ni hawa uzao wa Adam.. Hata uwape vyote hivyo na ziada ya matundu yote saba... Bado hawatariridhika.... Kumbuka mfalme Suleiman alibarikiwa hekima na utajiri na wake wa ndoa 300 lakini bado akaongeza masuria 3000....
Jr![]()





Really?
hii ulisoma wapi mkuru maana naona chai kibao, wake 300, badala ya700, masuria 3000 badala ya300, unamaanisha jumla alikuw na wanawake 3300 wakati alikuwa na 1000 tu!!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
piga chafya povu likutokre ndg, Suleiman alioa wanawake 700, masuria 300. jumla 1000Kuna Suleiman wengi, huenda anamuongelea Suleiman yule mfalme wa kushona viatu Tanzania nzima anashonea pale Maryland Mwenge
Je umeelewa post Yangu?piga chafya povu likutokre ndg, Suleiman alioa wanawake 700, masuria 300. jumla 1000
Sent using Jamii Forums mobile app
Watangazaji wa Clouds tv wamewashambulia vikali wabunge Tundu Antipas Lisu na Zitto Kabwe kwa kubeba ajenda za taifa na kuwapelekea mabwana zao wakoloni huko ulaya.
Wamedai kuwa baada ya Lisu kuichafua nchi huko UK na Marekani na kukwama kwenda German ambako amenyimwa visa sasa amemtuma Zitto akakamilishe misheni hiyo iliyokosa uzalendo.
Waandishi hao Ngoma na Sasali wamewaonya wanasiasa wa Tanzania iwe CCM au wapinzani wasitake kuwalazimisha watanzania wote kuwa wanasiasa kwani kuna watu wengine kwao siasa ni dhambi.
Ijumaa karim
Maendeleo hayana vyama!
Unasemaje kwa wanaobaka kuku?

hebu toa mfano tumuite hapa kwa maswalib jadidi!..
Mleta mada jinsia ya kike lkn ajitambui.Nb. Acha kuchanganya mambo... Utamu kwani mwanamke ni chakula??
Utamu vs uzuri
Mleta mada jinsia ya kike lkn ajitambui.
Huwezi kuwa na sifa zote hizo sasa ukikosa mojawapo ya hizo ndo anachepuka.Shepu, msambwanda, miguu, sura, viuno, kauli, adabu, mapishi, usafi, hofu ya Mungu, uadilifu, tabia njema, utulifu, unadhifu au nini hasa?
Mwanamke aweje ili mumewe asichepuke?
Ni utamu gani hasa mnaoutaka?
Maana hata nikiwa na sifa zote hizo bado MTU anachepuka, gari nimemnunulia, anakaa prime area, pocket money nimemwesha yaani hajapungukiwa, but utulivu zero brain kabisa.
Kwa karne hii sidhani kama kuna chako mwenyewe watu wamependa kushare na wenzao. Utamu upo pale mpo wawiliShepu, msambwanda, miguu, sura, viuno, kauli, adabu, mapishi, usafi, hofu ya Mungu, uadilifu, tabia njema, utulifu, unadhifu au nini hasa?
Mwanamke aweje ili mumewe asichepuke?
Ni utamu gani hasa mnaoutaka?
Maana hata nikiwa na sifa zote hizo bado MTU anachepuka, gari nimemnunulia, anakaa prime area, pocket money nimemwesha yaani hajapungukiwa, but utulivu zero brain kabisa.