Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 15,475
- 33,038
Aiseee
wewe ni mmoja kati ya wachache humu unaerespect wanawake humu,angalia majibu ya wanaume wenzio kwenye hii mada alafu uniambie kitu,,lol
Aiseee
Asante sana, ila bado najiuliza, kilichomfanya aende chumbani kwa house girl wa jirani hadi anafumaniwa Huko na kupelekwa Polisi ni nini? Mbona wadada wazuri wapo wengi sana, kwanini Ali risk kuingia nyumbani kwa watu?
Vibenteni wenzangu fursa hii huku...
Kuna wengine ni ugonjwa... Kuanzia mabeki 3 mpaka wahudumuHuyu wa kwangu sitaki kumuita kimeo, yaani, kama ni sex tu, tumezifuata hadi Huko ughaibuni, kwenye mahoteli na mabustani, kwenye maegesho na chini ya mbaramwezi nimempa bila choyo yoyote, lakini anakamata hadi house girl wa jirani, na kafumaniwa Huko ndani na akapelekwa Polisi, hii aibu niiweke wapi Mimi?

Mwanamke hana utamu Bali ana utelezi tu,utamu anao mwanaume mwenyewe
Mume wa nani?
Kuna vitu, kama mwanamke mwingine yeyote utakuwa huna. Mungu hakupi vyote. Atakuwa anavipata huko kwingine. Labda we mrefu anataka mfupi. Labda we mweupe anataka mweusi. Au we mkimya anataka muongeaji? Yeye yake anajua ni kitu gani.Huyu wa kwangu sitaki kumuita kimeo, yaani, kama ni sex tu, tumezifuata hadi Huko ughaibuni, kwenye mahoteli na mabustani, kwenye maegesho na chini ya mbaramwezi nimempa bila choyo yoyote, lakini anakamata hadi house girl wa jirani, na kafumaniwa Huko ndani na akapelekwa Polisi, hii aibu niiweke wapi Mimi?
Usipoteze muda. Wanaume hatuwezi ridhika na kei moja, hata ukituona tumetulia nawe jua tu kuwa tumekuzidi akili ila hauko peke yako. Kei hata iwe tamu vipi ila mwanaume rijari hatoridhika nayo pekee.Shepu, msambwanda, miguu, sura, viuno, kauli, adabu, mapishi, usafi, hofu ya Mungu, uadilifu, tabia njema, utulifu, unadhifu au nini hasa?
Mwanamke aweje ili mumewe asichepuke?
Ni utamu gani hasa mnaoutaka?
Maana hata nikiwa na sifa zote hizo bado MTU anachepuka, gari nimemnunulia, anakaa prime area, pocket money nimemwesha yaani hajapungukiwa, but utulivu zero brain kabisa.
Kwani uliambiwa mwanaume anachepuka kwa sababu mkewe sio Mtamu?Tatizo humkeep Busy,Mpe papuchi mara nne hadi 6 kwa wiki,Oga Vizuri,Lala Uchi,Dai vya asubuhi na vya jikoni.Hasa cha Asubuhi huwa kinamfanya awe na uchache wa genye.Hata hivo hio sio garantee kwamba hatachepuka ila angalau hutakuwa mpweke na kuanza kumfuatilia ili ujue anachepuka ana naniShepu, msambwanda, miguu, sura, viuno, kauli, adabu, mapishi, usafi, hofu ya Mungu, uadilifu, tabia njema, utulifu, unadhifu au nini hasa?
Mwanamke aweje ili mumewe asichepuke?
Ni utamu gani hasa mnaoutaka?
Maana hata nikiwa na sifa zote hizo bado MTU anachepuka, gari nimemnunulia, anakaa prime area, pocket money nimemwesha yaani hajapungukiwa, but utulivu zero brain kabisa.
Ukwel ni huu dada angu.....sisi wanaume tuna nguv mbili ndan yetu,kupenda na kutaman,ila nguv ya kutaman imezid kupenda,so naweza nkakupenda saaana ila na bado nikamsarandia hausigel tena ambae hata perfume haijui..tamaaaaShepu, msambwanda, miguu, sura, viuno, kauli, adabu, mapishi, usafi, hofu ya Mungu, uadilifu, tabia njema, utulifu, unadhifu au nini hasa?
Mwanamke aweje ili mumewe asichepuke?
Ni utamu gani hasa mnaoutaka?
Maana hata nikiwa na sifa zote hizo bado MTU anachepuka, gari nimemnunulia, anakaa prime area, pocket money nimemwesha yaani hajapungukiwa, but utulivu zero brain kabisa.
Pole sana mamyAsante sana, ila bado najiuliza, kilichomfanya aende chumbani kwa house girl wa jirani hadi anafumaniwa Huko na kupelekwa Polisi ni nini? Mbona wadada wazuri wapo wengi sana, kwanini Ali risk kuingia nyumbani kwa watu?
Kwa jinsi ulivyoelezea huyo uliyenaye hukuwa chaguo lake. Aliamua au ameamua kuwa na wewe kwa sababu ya vitu anavyovipata kutoka kwako. Lakini hisia zake hazipo kwako. Utamu wa mwanamke unatofautiana kati ya mtu na mtu. Mwingine atapenda msambwanda, mwingine atapenda kimbaumbau, mwingine atapenda mfupi, mwingine atapenda mrefu na mengine mengi. Sasa inapotokea wewe umempenda mtu na kumshawishi uwe naye tegemea kusalitiwa tu. Na hii ipo kwa wote wanaume na wanawake. Ndio maana hata sisi wanaume tunapokuwa na wake za watu huwa wanatuambia mimi mume wangu nampenda kwa sababu ana hela ila sina hisia naye.