Utamu wa mwanamke ni upi?

Utamu wa mwanamke ni upi?

Shepu, msambwanda, miguu, sura, viuno, kauli, adabu, mapishi, usafi, hofu ya Mungu, uadilifu, tabia njema, utulifu, unadhifu au nini hasa?
Mwanamke aweje ili mumewe asichepuke?
Ni utamu gani hasa mnaoutaka?
Maana hata nikiwa na sifa zote hizo bado MTU anachepuka, gari nimemnunulia, anakaa prime area, pocket money nimemwesha yaani hajapungukiwa, but utulivu zero brain kabisa.
Mambo haya yanatokea nchi gani Mkuu
 
Shepu, msambwanda, miguu, sura, viuno, kauli, adabu, mapishi, usafi, hofu ya Mungu, uadilifu, tabia njema, utulifu, unadhifu au nini hasa?
Mwanamke aweje ili mumewe asichepuke?
Ni utamu gani hasa mnaoutaka?
Maana hata nikiwa na sifa zote hizo bado MTU anachepuka, gari nimemnunulia, anakaa prime area, pocket money nimemwesha yaani hajapungukiwa, but utulivu zero brain kabisa.
Mimi miguu, yaani mwanamke akiwa na miguu mizuri mashalah.
 
Dada asikudanganye mtu,asili yetu n kutaman tu,hata uwe na msambwanda vp au ukamilike au uwe mzur wa aina yoyote ile kuchepuka n lazma,ila vzur upate anaejua kuchepuka kwa siri ili usiumie moyo,wew mwenyewe ukifuga kuku au ng'ombe utanunua dume moja ila majike weng,hlo dume litawapitia wooote,binadam pia ndo tulivyo dada
in short mnyaazi mungu ndo alipanga iwe hivyo,ila kwanini mimi sichepuki?natamani sawa ila naweza kujicontrol nikabaki njia kuu
 
Hata kubadili taste ni issue.

Ule usemi utamaliza bucha, nyama ni ile ile, utabakia kuwa usemi tu.

Kama nyama ni ile ile, kwa nini mtu aende bucha ya mbali kwenye nyama "nzuri"?

Ni nature ya mwanaume ku test hapa na pale. Labda awe na matatizo.
Kwenye kuonja onja ndio mnajikuta mnawaonja na wanaume wenzenu
 
Dawa ya M/me asichepuke inabidi umpe kila siku utelezi,manjonjo ya kutosha,kisha kama flat screen ongea na poshi kwini akuepeleke kwa wachina wakuchonge msambwanda na inye.
 
"Hakuna mwanaume wa kuridhika na Mwanamke mmoja labda awe anaumwa au hana fedha"-Masoud Kipanya.

Mwanaume hata awe ametoka kuchukucha dk hiyo hiyo yaani kashuka kitandani halafu akasema ngoja niende nikachukue maji hapo kwenye friji halafu akamkuta mdogo wako wa kike kakaa vibaya lazima udenda umtoke.

Inshort mpaka dk hii tunaeleweshana hapa Bado hajazaliwa mwanamke wa kumtosheleza Mwanaume kikamili kabisa asimtamani mwanamke mwengine hata wewe licha ya kwamba kuna watu wanawake zao wazuri kuliko hata wewe ila bado wanakutamani.
Hii generalization mnaitoleaga wapi wakuu
 
Kama ulimtoa humu JF basi andika maumivu maana humu kumejaa vito.mbi...angalia mada zao .badilisha kiwanja best..
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Shepu, msambwanda, miguu, sura, viuno, kauli, adabu, mapishi, usafi, hofu ya Mungu, uadilifu, tabia njema, utulifu, unadhifu au nini hasa?
Mwanamke aweje ili mumewe asichepuke?
Ni utamu gani hasa mnaoutaka?
Maana hata nikiwa na sifa zote hizo bado MTU anachepuka, gari nimemnunulia, anakaa prime area, pocket money nimemwesha yaani hajapungukiwa, but utulivu zero brain kabisa.
Ulivyovitaja vyote unavyo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Hakuna mwanaume wa kuridhika na Mwanamke mmoja labda awe anaumwa au hana fedha"-Masoud Kipanya.

Mwanaume hata awe ametoka kuchukucha dk hiyo hiyo yaani kashuka kitandani halafu akasema ngoja niende nikachukue maji hapo kwenye friji halafu akamkuta mdogo wako wa kike kakaa vibaya lazima udenda umtoke.

Inshort mpaka dk hii tunaeleweshana hapa Bado hajazaliwa mwanamke wa kumtosheleza Mwanaume kikamili kabisa asimtamani mwanamke mwengine hata wewe licha ya kwamba kuna watu wanawake zao wazuri kuliko hata wewe ila bado wanakutamani.
Kwenye kuonja onja ndio mnajikuta mnawaonja na wanaume wenzenu
Hayo tena mengine. Tubaki mwenye hoja yako ya msingi. Ujue hata misambwanda hutofautiana. Ipo dizaini nyingi tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom