Hawachi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 12,010
- 54,201
Hahahaha duhKama ulimtoa humu JF basi andika maumivu maana humu kumejaa vito.mbi...angalia mada zao .badilisha kiwanja best..
Hahahaha duhKama ulimtoa humu JF basi andika maumivu maana humu kumejaa vito.mbi...angalia mada zao .badilisha kiwanja best..
Nazihitaji hekima na busara zakoKama ni hawa uzao wa Adam.. Hata uwape vyote hivyo na ziada ya matundu yote saba... Bado hawatariridhika.... Kumbuka mfalme Suleiman alibarikiwa hekima na utajiri na wake wa ndoa 300 lakini bado akaongeza masuria 3000....
Jr![]()
Wanaume hawaridhiki hata wapewe nini... Kikubwa wafanye siri na kwa tahadhari.. Ukimpenda!? Utamlinda... Si kumlinda na maradhi tu bali na maumivu ya moyo piaNazihitaji hekima na busara zako

Huyu wa kwangu sitaki kumuita kimeo, yaani, kama ni sex tu, tumezifuata hadi Huko ughaibuni, kwenye mahoteli na mabustani, kwenye maegesho na chini ya mbaramwezi nimempa bila choyo yoyote, lakini anakamata hadi house girl wa jirani, na kafumaniwa Huko ndani na akapelekwa Polisi, hii aibu niiweke wapi Mimi?Mamii mbona iko straight forward,mwanamme anapenda unlimited sex, na chakula kizuri, ukiweza kutimizi haya lazima akae..well vitu vingine atavi overlook..
Mimi kutembea na mmoja au wawili bado Haku justify generalization yako msipe kusema kila mwanammeWewe umetembea na mwanamke mmoja tu toka ujue m.u.k.a?
Uzi unageuka taratibuKwenye kuonja onja ndio mnajikuta mnawaonja na wanaume wenzenu
Shepu, msambwanda, miguu, sura, viuno, kauli, adabu, mapishi, usafi, hofu ya Mungu, uadilifu, tabia njema, utulifu, unadhifu au nini hasa?
Mwanamke aweje ili mumewe asichepuke?
Ni utamu gani hasa mnaoutaka?
Maana hata nikiwa na sifa zote hizo bado MTU anachepuka, gari nimemnunulia, anakaa prime area, pocket money nimemwesha yaani hajapungukiwa, but utulivu zero brain kabisa.
Wanaume hawaridhiki hata wapewe nini... Kikubwa wafanye siri na kwa tahadhari.. Ukimpenda!? Utamlinda... Si kumlinda na maradhi tu bali na maumivu ya moyo pia
Jr![]()
Shepu, msambwanda, miguu, sura, viuno, kauli, adabu, mapishi, usafi, hofu ya Mungu, uadilifu, tabia njema, utulifu, unadhifu au nini hasa?
Mwanamke aweje ili mumewe asichepuke?
Ni utamu gani hasa mnaoutaka?
Maana hata nikiwa na sifa zote hizo bado MTU anachepuka, gari nimemnunulia, anakaa prime area, pocket money nimemwesha yaani hajapungukiwa, but utulivu zero brain kabisa.
Pole mama hiyo ni mtihani ya duniaHuyu wa kwangu sitaki kumuita kimeo, yaani, kama ni sex tu, tumezifuata hadi Huko ughaibuni, kwenye mahoteli na mabustani, kwenye maegesho na chini ya mbaramwezi nimempa bila choyo yoyote, lakini anakamata hadi house girl wa jirani, na kafumaniwa Huko ndani na akapelekwa Polisi, hii aibu niiweke wapi Mimi?
Sio wote ambao hawajui wanataka nini mkuuHuo ndio ukweli mkuu kifupi hamtosheki wala hamjui nini mnataka?
Kama umetulia kwenye mahusiano yako hongera kwako ila wengi wao wako hivyo.Sio wote ambao hawajui wanataka nini mkuu
Huyu wa kwangu sitaki kumuita kimeo, yaani, kama ni sex tu, tumezifuata hadi Huko ughaibuni, kwenye mahoteli na mabustani, kwenye maegesho na chini ya mbaramwezi nimempa bila choyo yoyote, lakini anakamata hadi house girl wa jirani, na kafumaniwa Huko ndani na akapelekwa Polisi, hii aibu niiweke wapi Mimi?
Hao wenye hizo tabia za kuumwa umwa na michango ndo vicheche wazoefu, mwizi akiibiwa balaa lake utalijua tuAsante, lakini wakifanyiwa wao wanaumwa hadi wanaomba michango ya matibabu kwenye TV, ie alichofanya Zamaradi
AiseeeKama ulimtoa humu JF basi andika maumivu maana humu kumejaa vito.mbi...angalia mada zao .badilisha kiwanja best..
Asante sana, ila bado najiuliza, kilichomfanya aende chumbani kwa house girl wa jirani hadi anafumaniwa Huko na kupelekwa Polisi ni nini? Mbona wadada wazuri wapo wengi sana, kwanini Ali risk kuingia nyumbani kwa watu?Jamani Nazjaz pole sana, kuna wanaume kama ilivyo wanawake sio watu wa kuji commit kwenye relationship namaanisha ingependeza wakae single wafanye ufuska wao wanavyotaka na sio kujifanya wanaweza kuji commit into relationship/marriage wakati 'character' yao ni ufuska..pole sana mamii ila TRUST ME utapona tu...watu wame experience worse na wakapona, na wewe utapona tu..time is the best healer....