Utajiri wa masharti ni mateso

Utajiri wa masharti ni mateso

Hakuna uchawi kwenye hayo masharti
Kwa Mfano usitembeee na mwanamke mwingine,hiyo ni kubana matumizi tu.
Kuvaa ndala ni kubana matumizi tu.
Usinye choo cha Nyumbani
Hapo Mzee usikaekae Nyumbani nenda katafute pesa mtaani.
Hamna ushirikina Wala ndagu hapo ni discipline ya kutafuta hela na kutumia pesa vizuri.
Hata usiku wa manane usinye sio?.
 
Waganga ni watu wajanja sana. Kwa masharti hayo umakuwa unabana matumizi ya fedha uliyonayo na itabaki kwenye mzunguko wa biashara tu. Utakosaje kuwa na pesa nyingi wakati unazalisha sana unakula kidogo. Tufunguke akili
Asante mkuu.... Habari ndio hiyo
 
na uhakika yule mark zuckerberg na ule mtisheti wake mmoja kila siku angekuwa bongo angeshaitwa mwanga au anatumia ndumba kabla hajafikia hata hapo alipo... lifestyles za watu zisitupumbaze tukahisi ni ndumba anatumia
yule hana tishet moja..sema ali order tishet za aina moja..so anazo nyingi za moja
 
Kuna mmoja yupo hapo Songea kila ukimuona ni amevaa pensi fupi na Singrendi/Carwoshi mda wote uwe wakati wa baridi kali au Jua kali yeye anavaa hivyohivyo anapenda sana kutembea na pikipiki niliambiwa hata siku ambayo alikuwa anafunga ndoa kanisani akataka kuvaa pensi na Carwash Mapadre wakagoma ikabidi anunue suti fasta baada ya Ndoa akaa vaa tena pensi na singrendi ila jamaa ni ana hela chafu wale wa songea wanamjua
Mpuuzi sana huyo....
raha ya pesa uitume...
sio ikutume
 
Ni bora ukawa na Mia mfukoni lakini umeipata kwa jasho.

Nimetembea hiyo Mikoa yote ni matajiri wachache sana wanaofurahia Pesa zao.

Lakini wengi Pesa zao ni za 'ndagu' zenye masharti lukuki ambayo ni ya kujitesa tu, Usitembee na mwanamke mwingine zaidi ya mke wako, Usivae viatu zaidi ya kandambili, Usinye choo cha nyumbani n.k

Sasa hayo ni mateso ndugu zangu , Raha Pesa uifurahie na sio ikupe Karaha.
He wamegundua sharti jipya. Usinye choo cha nyumbani. Siku hizi kuna sharti la kuliwa tigo tena na watu 2 kwa nyakati tofauti.
Ukiona kijana ameibuka na mipesa huko hebu mkagueni vizuri atakua amefumuliwa nozzle mara mbili. Hili sharti wanalo sana waganga wa Maginga na Njombe
 
Ukweli upo wakati maduka ya TDM yanaungua wapo mtajiri walikuwa bize kuokoa mpaka yao tu Mali hawana shida nazo.

Wapo wanao nunua Nyumba na viwanja ila Hela sharti akupe mkononi ukitaka akuwekee kwenye Ac ya benki anahairisha biashara na akikupa Hela hutaelewa imeisheje

Wapo ambao ukifanya kazi ujira wako ni mpaka Giza liingia ata kama umemaliza kazi saa 1 asubuhi.
Hii mikoa ni shida kwa kweli
 
Ni bora ukawa na Mia mfukoni lakini umeipata kwa jasho.

Nimetembea hiyo Mikoa yote ni matajiri wachache sana wanaofurahia Pesa zao.

Lakini wengi Pesa zao ni za 'ndagu' zenye masharti lukuki ambayo ni ya kujitesa tu, Usitembee na mwanamke mwingine zaidi ya mke wako, Usivae viatu zaidi ya kandambili, Usinye choo cha nyumbani n.k

Sasa hayo ni mateso ndugu zangu , Raha Pesa uifurahie na sio ikupe Karaha.
Hilo la usitembee na mwanamke zaidi ya mkeo limekaa vizuri hata mungu analipenda
 
He wamegundua sharti jipya. Usinye choo cha nyumbani. Siku hizi kuna sharti la kuliwa tigo tena na watu 2 kwa nyakati tofauti.
Ukiona kijana ameibuka na mipesa huko hebu mkagueni vizuri atakua amefumuliwa nozzle mara mbili. Hili sharti wanalo sana waganga wa Maginga na Njombe
hebu wataje hao waganga
 
Kuna mmoja yupo pale Kariakoo jina kapuni,ana ghorofa mbili na Biashara nyingi tuu,lakini anavyovaa sasa huwezi amini,kila weekend lazima aende kwao njombe tena hapandi Bus wala gari binafsi bali ni zile fuso za pale Jangwani huku kabeba mfuko wa rambo.
umewahi kumuona???
 
Back
Top Bottom