Nyamboboy
JF-Expert Member
- Jun 22, 2017
- 362
- 456
pawaga ipi mkuu,mi naishi pawaga mwaka wa 5 huu sijaona hayo mambo,nipo kimande hapa!Inaelekea wewe mgeni na watu wa huku...sisi tushawazoea na tunaona ni kawaida tu,kama ukija huku pawaga/iringa vijijini utakutana na mambo ambayo siku ukiludi kwwnu ukiwasimulia hakuna atakayeamink,watahisi umeangalia movie sasa unawasimulia
NB:kwa kiasi flan usemayo ni kweli na yapo zaidi ya hayo ingawa sio wote wana mambo hayo(asilimia ndogo sana ndio wana hayo mambo)