Kwanini kuwataja? Wewe ukihita utajiri wa haraka njoo pm nikuelekeze. Ila lazima tukutane nikujue ili niwe nakutangaza kwamba ulitimiza mashartihebu wataje hao waganga
Kwanini kuwataja? Wewe ukihita utajiri wa haraka njoo pm nikuelekeze. Ila lazima tukutane nikujue ili niwe nakutangaza kwamba ulitimiza mashartihebu wataje hao waganga
hapo sasa ndio pagumu,nadhani huyu jamaa hana safari za mjini sana,,,yupo babati-manyara pale,niliwahi pewa stori yake na watu zaidi ya wa3 pale,nadhani huyu bwana hana safari nyingi za mijini na ikitokea anaenda mjini bac lzm aende na gari yake na haezi cheza mbali na gari yake hata akiwa k/koo labda awe ametoka kunya saa hiyo hiyo maana masharti yake anayajua....jina lake linaanza na herufi N kwa wakaazi wa babati pale nadhani wanamjua baadhi yao maana stori zake ni nyingi pale mjini babatiS
Sasa kama ndio amejichanganya mitaa ya Kariakoo kwa mfano halafu gogo linapiga hodi, gari kapaki mbali itakuwaje hapo na vichaka hakuna?
kuna mmoja yupo pale Iringa akihisi mkojo anapanda baiskeli anakwenda kukojoa njia panda,Da!!!!!!!!
Matajiri niliokuwa nao karibu lakini walikuwa wanaishi maishi ya shida;kuna mmoja yupo pale Iringa akihisi mkojo anapanda baiskeli anakwenda kukojoa njia panda,Da!!!!!!!!





lete pombeeee iyoooo tuonjeeeeeee







Mkuu usimuache Yesu wako.Kwa maisha yalivyo hata sisi tunataka huo uchawi khaa
Mkuu usimuache Yesu wako.
Japo najua church siku hizi unaenda kwa machale ila najua jina lako bado limeandikwa kwenye kitabu Cha uzima.
Matajiri niliokuwa nao karibu lakini walikuwa wanaishi maishi ya shida;
1. Peter Lucas Sanga
2.Galilaya
3.Kiswele
Wote hapo juu hata soda hawajawahi kumnunulia mtu.Walikuwa wanatembea kwa miguu sana.Hawajawahi kutembelea magari ya kifahari nk
lete pombeeee iyoooo tuonjeeeeeee
ikiwa chachuuu![]()

,ikiwa chachu lete tuonjeeeeUmemuona tajiri gani anava kandambili na je kufurahia maisha ni kutembea na mke wa mtu,ina maana kwa mfano mfalme wa Saudia anayevaa sandals nae ni mwanga au Wazanzibar matajiri wanaoshindia talawanda nao ni watu wa ndago?acha kukariri kama kasukuNi bora ukawa na Mia mfukoni lakini umeipata kwa jasho.
Nimetembea hiyo Mikoa yote ni matajiri wachache sana wanaofurahia Pesa zao.
Lakini wengi Pesa zao ni za 'ndagu' zenye masharti lukuki ambayo ni ya kujitesa tu, Usitembee na mwanamke mwingine zaidi ya mke wako, Usivae viatu zaidi ya kandambili, Usinye choo cha nyumbani n.k
Sasa hayo ni mateso ndugu zangu , Raha Pesa uifurahie na sio ikupe Karaha.
Nataka kuja huko aseee nipe muongozoNjombe ni kwetu,kwa hilo sikupingi.
Tena nawajua kwa majina
Naona umenielewa vema. Basi na wewe kafanye hivyo hivyoWaganga ni watu wajanja sana. Kwa masharti hayo umakuwa unabana matumizi ya fedha uliyonayo na itabaki kwenye mzunguko wa biashara tu. Utakosaje kuwa na pesa nyingi wakati unazalisha sana unakula kidogo. Tufunguke akili
Eti Masikini ndio wataenda mbinguni !Maskini hana jema akiona mtu kafanikiwa anameita Freemason nk.sifa namba moja ya umaskini uchawi,,,tangu lini ukakuta tajiri amekamatwa akiwanga?
Mkuu unajua hizo sehem unielekezewe koma! unatuchokoza hivyo,shauri lako!!