Malizia chaula mzee wa ilasi petrol station na usafiri wa mabasi ilasi na anashule pia inaitwa ilasi mzee ni hatari sana yule pesa anayoHapana yule dogo siyo ndagu namfahamu sana ameishi maishs magumu sana alipata mtaji baada ya kupiga udalali wa nyumba alipata around 20 mil ndo kachomoka.Kwa huko songwe king kong wa haya mandagu ni dingi mmoja wa vwawa mkinga anaitw chau.....nini sijui??