Utajiri wa masharti ni mateso

Utajiri wa masharti ni mateso

Lakini Sisi wa huku Mlowa,nyamahana,nyamihuu na kidamali hatuyajui hayo mambo ya 'ndagu' utajiri wetu ni wakupambana yaani ni utajiri USO na chembe ya ushirikina, tunalima nyanya, mahindi na mpunga kwa jasho baada ya miaka kadhaa suala ya kumiliki ma fuso, coasterz na mashine za kusaga ni jambo LA kawaida tu kwani pesa huwa IPO ya kutosha.
Inaelekea wewe mgeni na watu wa huku...sisi tushawazoea na tunaona ni kawaida tu,kama ukija huku pawaga/iringa vijijini utakutana na mambo ambayo siku ukiludi kwwnu ukiwasimulia hakuna atakayeamink,watahisi umeangalia movie sasa unawasimulia
NB:kwa kiasi flan usemayo ni kweli na yapo zaidi ya hayo ingawa sio wote wana mambo hayo(asilimia ndogo sana ndio wana hayo mambo)
 
Ni bora ukawa na Mia mfukoni lakini umeipata kwa jasho.

Nimetembea hiyo Mikoa yote ni matajiri wachache sana wanaofurahia Pesa zao.

Lakini wengi Pesa zao ni za 'ndagu' zenye masharti lukuki ambayo ni ya kujitesa tu, Usitembee na mwanamke mwingine zaidi ya mke wako, Usivae viatu zaidi ya kandambili, Usinye choo cha nyumbani n.k

Sasa hayo ni mateso ndugu zangu , Raha Pesa uifurahie na sio ikupe Karaha.

Tatizo kumbe kutembea nje ya ndoa?

Ndagu pia mwanza
 
Mkuu huu uzi nilikua sijauona,..wakuu hawa matajiri wanapata tabu aisee! Yani wanachofurahia wao ni Title kubwa uraianai ila shida wanayopata ni kubwa. Wakuu tujitahid kusomesha watoto zetu ili wasiangukie katika janga hili, na hii ni kwasababu unakuta mtu ana-hustle miaka mingi ila anaambulia tu mafanikio kidogo, matokeo yake ndo haya ya kutaka mali nyingi za ghafla.
Kuna mmoja yupo pale Kariakoo jina kapuni,ana ghorofa mbili na Biashara nyingi tuu,lakini anavyovaa sasa huwezi amini,kila weekend lazima aende kwao njombe tena hapandi Bus wala gari binafsi bali ni zile fuso za pale Jangwani huku kabeba mfuko wa rambo.
 
Ni bora ukawa na Mia mfukoni lakini umeipata kwa jasho.

Nimetembea hiyo Mikoa yote ni matajiri wachache sana wanaofurahia Pesa zao.

Lakini wengi Pesa zao ni za 'ndagu' zenye masharti lukuki ambayo ni ya kujitesa tu, Usitembee na mwanamke mwingine zaidi ya mke wako, Usivae viatu zaidi ya kandambili, Usinye choo cha nyumbani n.k

Sasa hayo ni mateso ndugu zangu , Raha Pesa uifurahie na sio ikupe Karaha.
Ndagu nk nini???!
 
Kasisi sio ndio alikuwa anaishi ilemi nyumba yake haina hata bomba la Maji wanachota kwa Jirani wakati yeye ndio almost tajiri wa Mbeya. Nyumba yake ya Block T yenye kila kitu kampa Dada yake
Hahaha Kuna jumba jingine lake kuubwa halijakamilika miaka nenda Rudi lipo pale jirani na hospital ya mkoa wanaishi popo
 
Kuna mmoja yupo pale Kariakoo jina kapuni,ana ghorofa mbili na Biashara nyingi tuu,lakini anavyovaa sasa huwezi amini,kila weekend lazima aende kwao njombe tena hapandi Bus wala gari binafsi bali ni zile fuso za pale Jangwani huku kabeba mfuko wa rambo.
Hahaha wanapata tabu sana
 
Yule
Hakuna cha akili wala juhudi na masharti ya waganga tu. Na hakuna mali ya tajiri wa aina hii inayorithishwa kwa kizazi chake. Au wanafirisika baada ya kuvunja masharti au inapotea mysteriously.

Yale siyo maisha ni utumwa, matajiri hawa kama yule Kasisi wa Paradise Hotel Mbeya anaishi kama msukule tu.
Yule jamaa huwa namuonea huruma tuu wakati yeye ndo alitakiwa anioonee Mimi huruma
Muda woote yupo ndani
 
Ni bora ukawa na Mia mfukoni lakini umeipata kwa jasho.

Nimetembea hiyo Mikoa yote ni matajiri wachache sana wanaofurahia Pesa zao.

Lakini wengi Pesa zao ni za 'ndagu' zenye masharti lukuki ambayo ni ya kujitesa tu, Usitembee na mwanamke mwingine zaidi ya mke wako, Usivae viatu zaidi ya kandambili, Usinye choo cha nyumbani n.k

Sasa hayo ni mateso ndugu zangu , Raha Pesa uifurahie na sio ikupe Karaha.
Inafanana na ukweli,pia usioge
 
Ni bora ukawa na Mia mfukoni lakini umeipata kwa jasho.

Nimetembea hiyo Mikoa yote ni matajiri wachache sana wanaofurahia Pesa zao.

Lakini wengi Pesa zao ni za 'ndagu' zenye masharti lukuki ambayo ni ya kujitesa tu, Usitembee na mwanamke mwingine zaidi ya mke wako, Usivae viatu zaidi ya kandambili, Usinye choo cha nyumbani n.k

Sasa hayo ni mateso ndugu zangu , Raha Pesa uifurahie na sio ikupe Karaha.
Huu ujumbe unawaface mazima wakinga
 
Waganga ni watu wajanja sana. Kwa masharti hayo umakuwa unabana matumizi ya fedha uliyonayo na itabaki kwenye mzunguko wa biashara tu. Utakosaje kuwa na pesa nyingi wakati unazalisha sana unakula kidogo. Tufunguke akili
Kwahiyo hata akikacha masharti akaendelea na lifestyle hiyo, ataendelea kupiga pesa?
 
Back
Top Bottom