Utajiri wa masharti ni mateso

Utajiri wa masharti ni mateso

Hahaha mm nilifanya kaz halmashauri ya Makete kwa miaka 5 kabla ya kuhamia mbeya jiji naifahamu A to Z
Bulongwa, kipengele,lupalilo,iwawa nk
Sawa sawa. Nilidhan unanunua mbao nikuombe uwe mteja wangu ,,maana mm nauzia porini tu.


Karibu sana hapa iwambi Mbeya ,,,
 
Mtaje mkuu tumjue
Ila mbona pale mlowo kuna kijana nae wanasema ana pesa yake niya hivyo lakini hayupo kwenye masharti ya hivyo

Ukimtazama anapiga pamba safi gari safi and coster za kumwaga mbeya tunduma

Labda hizi mambo zipo za aina tofauti sana
 
Yes bwana Chau ni tishio maeneo haya!!naishi Vwawa mkuu mtaa wa Mwenye.
Hapana yule dogo siyo ndagu namfahamu sana ameishi maishs magumu sana alipata mtaji baada ya kupiga udalali wa nyumba alipata around 20 mil ndo kachomoka.Kwa huko songwe king kong wa haya mandagu ni dingi mmoja wa vwawa mkinga anaitw chau.....nini sijui??
 
Hii ya kweli kabisa nimesoma mbeya

Unakuta MTU ana daladala kibao zinafanya route za mbeya mjini to tukuyu hadi kyela au zinaenda Vwawa ila sasa Tazama gari anayotembelea utashangaa ya kiscrepa kutu tupu pesa anazo ila anashindwa hata kununua kigari za milioni 12 kutoka Japan .

Sasa nini maana ya hizo pesa
 
ninaishi k/njaro tangu 2009, nawajua sana wazee wa vimbora na kuwafanya machizi watoto wenu kwa ajili ya utajiri na takwimu zinaonyesha k/njaro inaongoza kwa machizi Tz, na ni watu wakujiona sana nyie wachaga sio kosa lako by default wachaga ndivo mlivo hakuna bata za kutisha huku misoto tu
Njoo Kilimandjaro uone matajir wanavyokula Bata huwez kuwa tajiri alafu ushinde umevaa kifala fala,huna nyumba nzur nk huo utakuwa utajir wa masharti
 
wa
Hii ya kweli kabisa nimesoma mbeya

Unakuta MTU ana daladala kibao zinafanya route za mbeya mjini to tukuyu hadi kyela au zinaenda Vwawa ila sasa Tazama gari anayotembelea utashangaa ya kiscrepa kutu tupu pesa anazo ila anashindwa hata kununua kigari za milioni 12 kutoka Japan .

Sasa nini maana ya hizo pesa
watu wana mikopo, maisha sio ya kuyaendea less hvo, kua uyaone dogo
 
wakinga wanathreat sana wachaga dsm, within few years wakinga watashika sana dsm ndo maana mangi umehanya, tuliza bolli
Naam Mimi nimefanya kazi huko kusini kwa almost 15 years mkuu,vitajiri vingi 90% vina huo utajir feki na vinakufaga Kama kuku
Ukienda Makete kumechakaa mno hawaruhusiw kujenga nyumba nzuri
Utajiri huo wa kichawi unapatkana Njombe sehemu inaitwa nyumba nitu kwa mganga maarufu mwandulami,awali alikuwa mwakipande lakini alifariki
 
Kufanya kazi kwa muda mrefu na kuwajua kwa kina hao watu ni vitu tofauti, unaeleza unayosikia. Nakubali unayoandika ila unadanganya sana. Mimi nawafahamu kwa mazingira yao matajiri baadhi waliofanya upuuzi huo,tena wengine nimepiga nao story physically(though sio kuhusu masala hayo, ni ndugu tu). The way unapotray hapa unachanganya habari nyingi.
Naam Mimi nimefanya kazi huko kusini kwa almost 15 years mkuu,vitajiri vingi 90% vina huo utajir feki na vinakufaga Kama kuku
Ukienda Makete kumechakaa mno hawaruhusiw kujenga nyumba nzuri
Utajiri huo wa kichawi unapatkana Njombe sehemu inaitwa nyumba nitu kwa mganga maarufu mwandulami,awali alikuwa mwakipande lakini alifariki
 
Usidanganye watu

Taja mmoja au wawili kwa mfano

Utajiri sio lazima uuneshe kwa mambo ya anasa Cha msingi mahitaji ya kibinadamu uyapate mengine n mbwebwe na ndio sababu mnafilisika kimawazo na kimali pia
Mkuu nimekaa Njombe nimejionea matajiri wa huko ni hovyo hovyo
 
Mimi sipendi kabisa hii tabia ya kuuwa watoto wadogo kwa vijesenti ushuzi, ni unyama wa hali ya juu wanaoufanya watu wa huko, shame on you motherfuckers animals 😏
 
Nilishamtukana mlinzi mmoja wa Hotel nzuri sana pale Makambako baada ya kuchelea kufunguan gate ...Mlinzi hakujibu kitu akawa mnyenyekevu tukaingiza gari ....

Wakati wa dinner akaja Manager kuuliza if we're ok!! tukasema tupo sawa ila position ya Mlinzi waiangalie maana yupo slow saana...

Manager akaonyesha sura ya mshangao kidogo kisha akatabasamu akaondoka..

Akaja Mhudumu tukamuuza kuhusu mlinzi aktuambia ndiye owner wa Hotel na ndiyo anapenda kazi hiyo...hataki kuajiri mtu anafanya yeye

Loooh; tukabaki midomo wazi
 
Back
Top Bottom