Nitakualika twende msata ukauone
Buji upo? Bado unatumia namba ile ile? Kuna kipindi nilikucheki hewani sikupatimshana jr, kufa temporaly kwa wiki moja..... je ukipitiliza?
Nilishawahi sikia hii kitu ila bado sijaiamini. Jaombo la msingi hapo huyo jogoo awe na njaa ila km hana njaa anaweza akala punje moja tuu, labda km ni jogoo wa mazingaombweKuna utajir upo hv niliambiwa na bibi, yani unakwenda kwa mganga afu zinatupwa punje za mtama. Jogoo atafunguliwa kama akila punje 100 bhs utaish miaka 100 then utakufa au akila 5 bhs miaka ako mitano inakuhusu[emoji23][emoji23]. Ila hakuna mashart mengine, mashart ni ww na kuku tu
kuku namkuta kwa mganga au naenda nae?Nilishawahi sikia hii kitu ila bado sijaiamini. Jaombo la msingi hapo huyo jogoo awe na njaa ila km hana njaa anaweza akala punje moja tuu, labda km ni jogoo wa mazingaombwe
[emoji3][emoji3]kuwa na mwanamke mmoja ndo shughuli
[emoji28][emoji28]Mimi nataka ya kufa na kuoza kwa mke wangu, mimi niwe naokota funza anapokufa
Utakua hujui utamu wa pesa.Duh! Pesa za hivyo hapana bora nizikose
Namkalisha siku nne bila kula,halafu naenda nae kwa mganga,nina uhakika atakula punje kama 50,zinatosha sana.Nishawahi sikia hii halafu nackia kuna ile ya kwenda n kuku kwa mganga kadri akiokota punje za mahindi ndo urefu wa maisha yko yatakavyokuwa ya utajiri n kuishi kwako