Utajiri wa kufa na kuoza ndio pesa ije

Utajiri wa kufa na kuoza ndio pesa ije

ilo la kidonda mwilini naweza nikakubali, ila mpaka napata hofu! maana nisha tumbua sana pesa zake. kuna jiran yang toka ni mfaham ni mwaka watatu, yeye anakidonda mguni toka na mjua mpaka hii leo hakijapona.. chakushangaza ukimwambia habari za hospital hatak hata kusikia yeye ni kukitia dawa za ku kuzibia pancha baskel..
Hilo ni jipu
 
Kila kitu hutokea kwasababu hata kufa kabla ya wakati ni sababu
Acha upotoshaji wewe,hapo kwenye red utajuaje huyu mtu kafa kabla ya wakati? Kwani ulikua unajua atakufa lini? Kufa hakuna kuwahi wala kuchelewa,siku ikifika imefika,acha upotoshaji wa kitoto,hizi akili za kutwa kuwaza mambo ya ushetani na mambo ya kufikirika ndio faida yake hiyo!
 
Niliwahi sikia kuwa. Pepe Kaller mwanamusic wa DRC. alifanya hivyo, mke wake akashituka ndio akafa.
Kweli. Nami pia niliambiwa habari hiyo na Mkongomani mmoja. Kuwa mkewe Pepe Kalle uvumilivu ulimshinda katoa siri.
 
Mambo ya tunduma hayo, lkn mi naona bora kuliko kuua watu au kuwa ombaomba unafanya mara moja unaishi kwa raha miaka mingi na nduguzo pia
Hapana hakuna nafuu kwakuwa kuna mazingira utakutana nayo yatakuweka njiapanda
 
Kweli. Nami pia niliambiwa habari hiyo na Mkongomani mmoja. Kuwa mkewe Pepe Kalle uvumilivu ulimshinda katoa siri.
Hii ishu ya Pepe Kale naona inazungumziwa mno pengine kuna ukweli fulani nitalitafiti hili
 
Shida Iko Hivi, Humu Kunawengine Bado Hawajajua Maisha, Kila Kitu Wao Wanakitafsiri Kwa Macho Na Akili Ya Kawaida Wakati Mtoa Uzi Kasema Kabisa Ni Utajiri Wa Kichawi.

Mambo Ya Kiroho Bila Kujali Ni Ya Mungu Au Ya Shetani Si Yote Utayaona Kwa Macho Yako Ya Kawaida, Mengine Unataasikia Lakn Mengine Utayaona Sehemu Ndogo Tu.

Mnachotakiwa Kuelewa Tendo Hili Halifanyiki Kama Unavyoenda Kazini Kila Mmoja Anajua Unaenda Kazini.
Mambo Ya Kiroho Hufanyika Sirini Bila Kujali Ni Mambo Ya Mungu Au Ya Shetani

Unaweza Kuishi Na Mkeo/Mumeo Mchawi Na Usijue Lakn Watu Wa Nje Wanajua Na Kila Siku Usiku Mwenziwako Anakwenda Kuwanga.

Mshana Mi Nakulaumu Kitu Kimoja.
Unajua Wazi Ndugu Yako Sina Ajira Na Naishi Maish Magumu, Badala Ya Kunipa Fursa Hiyo Unanibania. . . . [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] Sawa Bana Ngoja Nipachunguze Kwa Wakat Wangu, Nikipapata Nanunua Verosa Halafu Tusijuane, Hata Ukinikuta Bar Nakula Lager Zangu Usinijue Bro
[emoji593] [emoji445] [emoji481]
 
Back
Top Bottom