Utajiri wa kufa na kuoza ndio pesa ije

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,634
697,845
Ni aina mojawapo ya uchawi wa kupata utajiri ukiacha huu wa ;
Kuua ndugu
Kuwafanya wanafamilia ndondocha
Kuwekwa kidonda mwilini
Kupewa masharti ya chakula nguo na magari nk nk

Huu una mambo yake ya ajabu, unapewa dawa ambayo utamshirikisha mkeo tuu.Ukishakunywa hiyo dawa unakufa na kuoza kabisa mpaka kutoa funza wengi
Sasa mkeo kazi yake kila siku itabidi awafagie hao funza na kuwaweka kwenye ndoo kwa mpaka siku ya saba utakapofufuka.

Utajiri wako utategemea na wingi wa funza watakaokusanywa kwa siku.

Ukishamaliza siku Saba utafufuka na biashara zako zitaanza kuchanganya.

Onyo na tahadhari
-Hutakiwi kuwa na mwanamke mwingine
-Mkeo hapaswi kushtuka mara ya kwanza akiwaona funza utakufa moja kwa moja
-So wewe wala mkeo mnapaswa kutoa siri hii kwa yeyote hata chini ya mtutu wa bunduki
-Ishu ya kufa wiki nzima na kuoza utaifanya kila biashara zinapoyumba

Kama bado unataka utajiri kwa njia za mkato fikiria mara mbili kabla hujamua
 
Niliwahi sikia kuwa. Pepe Kaller mwanamusic wa DRC. alifanya hivyo, mke wake akashituka ndio akafa.
Yeye ilikuwa sio kwa ajili ya utajiri,bali ilikuwa ndio mtindo wake kabla hajatoa wimbo/album alikuwa anatambika kwa mizimu ya kwao ambapo alikuwa anajifungia ndani kwenye chumba maalumu hata kwa wiki mbili anakuwa kama kafariki. Kosa lililofanyika ni Mama yake alipokwenda kwake na kuingia humo chumbani ndio akafa moja kwa moja.
 
Yeye ilikuwa sio kwa ajili ya utajiri,bali ilikuwa ndio mtindo wake kabla hajatoa wimbo/album alikuwa anatambika kwa mizimu ya kwao ambapo alikuwa anajifungia ndani kwenye chumba maalumu hata kwa wiki mbili anakuwa kama kafariki. Kosa lililofanyika ni Mama yake alipokwenda kwake na kuingia humo chumbani ndio akafa moja kwa moja.
Hili jambo linaongelewa sana inawezekana kabisa kuna ukweli ndani yake
....Dunia imevua nguo mbele ya pesa...
 
Ni aina mojawapo ya uchawi wa kupata utajiri ukiacha huu wa ;
kuua ndugu
Kuwafanya wanafamilia ndondocha
Kuwekwa kidonda mwilini
Kupewa masharti ya chakula nguo na magari nk nk
Huu una mambo yake ya ajabu, unapewa dawa ambayo utamshirikisha mkeo tuu....ukishakunywa hiyo dawa unakufa na kuoza kabisa mpaka kutoa funza wengi
Sasa mkeo kazi yake kila siku itabidi awafagie hao funza na kuwaweka kwenye ndio kwa mpaka siku ya saba utakapofufuka..... utajiri wako utategemea na wingi wa funza watakaokusanywa kwa siku
Ukishamaliza siku Saba utafufuka na biashara zako zitaanza kuchanganya
Onyo na tahadhari
-hutakiwi kuwa na mwanamke mwingine
-mkeo hapaswi kushtuka mara ya kwanza akiwaona funza utakufa moja kwa moja
-so wewe wala mkeo mnapaswa kutoa siri hii kwa yeyote hata chini ya mtutu wa bunduki
-Ishu ya kufa wiki nzima na kuoza utaifanya kila biashara zinapoyumba
Kama bado unataka utajiri kwa njia za mkato fikiria mara mbili kabla hujamua
Nasikia na mtu akikupigia simu unapatikana bila shida na mnaongea na kumdanganya upo safarini kumbe unaoza ndani.
 
Back
Top Bottom