Wapemba nao ni hatari ushuhuda wao niliupata kwa rafiki yangu mpemba lakini wao wanatumia zaidi majini na mapepo
Wakinga na wapemba ina wahusu sana hii mada na hata ndugu zangu wamakonde hakuna tajiri hata mmoja wa kimakonde ambae utajiri wake ni wa halali wote ni wa ngende!
Mshana jr.,
Hivi tasbihi/rozari si sanamu.?!
Na wewe ni hatari maana unatembea mpaka na vinyago vya madogoli mikobani.!
Kuwa muwazi mjomba ngomani umo.hizi mada zote unaishi nazo na una uhakika.unazuga flani tu hapa.! Huununui weye unauza na kugawa bure kama unavyofanya siku hizi.!
Na kwenu wapo na mmoja wapo ni wewe.!
Na kwenu wapo na mmoja wapo ni wewe.!
ume juaje?
Kaka usisahau maofisini- tulia angalia mienendo ya watumishi walio wengi yaani ni ushirikina tupu tupu
boss hiyo ni imani yako tu.
wakinga wanatafuta hela mahali popote na wanaishi maisha ya kujibana ndio maana wanakuwa na mali pale wanapozipata.
matumizi mabaya ya kile kidogo unachopata yanakufanya usifanikiwe hata kidogo.
mkinga asubuhi anakunywa chai nyumbani, mchana analetewa chakula kutoka nyumbani, jioni anaenda kula nyumbani kwa nini asiwe na hela?
dukani kwake yupo yeye na mkewe ndio wauzaji akiweka msaidizi basi ni ndugu yake.
kwani wangapi wameenda kwa waganga na bado biashara zikagoma/kuanguka?
siku zote hata kwa anayetegemea mshahara, matumizi mazuri ya anachopata ndio mafanikio yake.
sio mtu kila siku asubuhi anaamkia supu ya kuku, mchana nyama choma na jioni kitimoto na bia juu.
huyu hawezi kufanikiwa.
Masharti na vigezo na miiko
Kuna mtu aliwahi niambia humu kwamba JF imejaa vichwa nazi sasa naamini. Mtu hata hunijui sikujui tunajaribu challenge things tayari ushanihukumu eti natoa kafara sijui mpinga Kristo......Hahaha Daah
Walokole wa siku hzi shida sanaa. Inaonyesha ni jinsi gani huna shule kichwani. Kwa taarifa yako mimi Kristo namjua na kumuamini kuliko unavyofikiria...
Wewe na huyo binti hapo juu hamjui defend hoja zenu ndio maana mwisho wa siku mnaleta personal attacks...
Kwahiyo unataka niambia mshana jr anavyojaribu eleza uwepo wa ushirikina/uchawi una conclude kwamba haamini kuna Mungu ??
Free urself from stupidity.
kwanini usijibu hoja kwa hoja badala ya kufanya attack za namna hii? Huu mjadala ni mzuri sana usiuharibu kwa kashfa, BTW ukimuona Nicholas msalimie
Na kwenye haya masharti kuna
-ya kulala na mamaako/babaako/mwanao
-kulala na mtoto mdogo/mchanga.ndio maana kuna habari nyingi sana za watu kubaka vitoto vidogo kabisa tena vingine vya miezi tuu
Hujaelewa somo,
We all know that mapato ni lazma ya exceed matumizi.
Issue is watu wanatumia ndago ku boost/increase the unseen energies/forces around them which tend to increase the inflows of money to them.
Je unafaham katika kitabu cha Mwanzo kwenye Bible. Mungu alitenganisha Nuru na Giza, Mungu akaiita Nuru Mchana na Giza Usiku...ikawa Jioni ikawa Asubuhi ikawa siku moja (Mwanzo 1:5).
Wakati huo Jua na Mwezi vilikua havipo (Mbingu na Nyota (jua na mwezi) as source of light and darkness we say today viliumbwa baadae). That shud tell u something.
Nimejitahidi kueleza in brief.
Sio kwamba sijalewa kinachoongelewa hapa.
Hoja yangu ni hii, kuna ushahidi wa ushirikina huo? What I know kuna watu wana jadi ya kushinda njaa ilhali wa pesa ya matumizi, ila wanajibana ili kutimiza lengo flani la utajiri. Ndio hao ambao mnawafanyia dhihaka na LABELLING kwamba ni washirikina!
Utajiri ni ile hali ya kumiliki mapesa mengi na kuwa na mali nyingi, utajiri ni mzuri kwa kuwa unakupa uwezo, nguvu, mamlaka, sifa na umaarufu! Kwa kifupi Utajiri ni kitu chema.
Watu wengi hutafuta utajiri kwa njia mbalimbali halali na haramu wao wanachotaka ni utajiri ili waweze kutimiza ndoto zao nyingi.
Sasa kuna wakati mtu hutafuta utajiri kwa njia za mkato hapa nazungumzia kwa njia za ushirikina na uchawi.
Utajiri huu ni mzuri na huja haraka lakini ukiwa na masharti mengi lakini kubwa likiwa ni kutoa kafara la damu kwa kuangamiza roho.
Unapoingia kwenye utajiri huu mwanzoni utafurahia na masharti utayaona mepesi lakini kadiri siku zinavyozidi kwenda mambo hubadilika na tabu huanzia hapo.
Mwanzoni utaambiwa toa kafara la damu ya kuku baadae itakuja mbuzi, halafu itafuatia ng'ombe na mwishowe itakuja binadamu mmoja na hatimaye kwa makundi.
Hii yote ni kutaka kulinda utajiri wako usiporomoke na ukivunja masharti kila kitu kinaharibika .
Kuna pia masharti ya kujisaidia, kulala, kula, kuvaa na hata matumizi ya vitu mbalimbali. Mwanzoni inakuwa ni rahisi tu kwenda sambamba nayo lakini mbeleni mambo hubadilika hasa pale watu wanapoanza kuhoji hiki au kile.
Wote tunajua jamii ya watu wenye ulemavu wa ngozi inavyoteketea kutokana na waganga wa kienyeji kuwaaminisha wateja wao kuwa viungo hivyo vikichanganywa na dawa nyingine huleta utajiri, bahati, nguvu na uwezo! Kuna zaidi ya waganga 300 kwenye mahabusu na Magereza mbalimbali wenye kesi zinazowahusisha na mauaji ya albino.
Jamani utajiri wa masharti ya namna hii haufai na mwishowe huwa na anguko kuu tunashuhudia visa vya kila aina kuhusiana na utajiri wa namna hii lakini kila uchao watu hawakomi kuendelea kuutafuta.
Hakika dunia inaumwa
Idimi kushinda njaa hakuleti utajiri kuna factors nyingi sana mpaka mtu apate utajiri lakini vile vile tu nazungumzia utajiri katika level gani? Ya kaya?kijiji? Kata? Wilaya? Mkoa? Taifa nk ?Sio kwamba sijalewa kinachoongelewa hapa.
Hoja yangu ni hii, kuna ushahidi wa ushirikina huo? What I know kuna watu wana jadi ya kushinda njaa ilhali wa pesa ya matumizi, ila wanajibana ili kutimiza lengo flani la utajiri. Ndio hao ambao mnawafanyia dhihaka na LABELLING kwamba ni washirikina!
And ancestral spirits aka miungu ya asili.
My dear ukweli utakuweka huru, in as much as what you call mila inaleta 'desired results' in case of magonjwa au mafanikio bado ni USHIRIKINA tu. Na msipoacha mtakufa if you know what I mean.