Senior Boss
JF-Expert Member
- Aug 19, 2011
- 3,405
- 3,701
Nimependa Maelezo yako, yapo vzr!
Pamoja na yote jibu ni moja tu kuwa mnamwabudu Lucifer kupitia miungu ya ukoo/familia.(miungu ya asili) km ulivyosema mwenyewe hapa!
Na ndo uchawi wenyewe!!!
Uchawi ni kwenda kinyume na maagizo ya Mungu!!
Soma kutoka 20:5 na kuendelea utaelewa mkuu.
Mungu ni 1 mingine miungu.
Hapa naposali wachaga ni zaidi ya 70%(kimara)
Hizo mambo zenu zimeleta shida kwenye familia nyingi za wachaga walioamua kumpokea Yesu na kuacha hizo mila.lkn Mungu ndo mkuu watu wanabadirika!!
Kwa hiyo unataka kuniambia wa Lutheri kwenye mafundisho ya kipaimara kwa watoto wao topic ya " Mungu wa Asili " wanafundishwa uchawi ??
Kajipange upya.