Utajiri wa kishirikina unavyotesa wengi

Utajiri wa kishirikina unavyotesa wengi

Mkuu nishafanya research mpaka nimeamua kupoteza tu cz design nimeona nikifatilia sana such stuff naweza nikawa tempted to try it. Lol

You know i dont wanna do that shit. Tehe... Patience and working smart is the talent. Hela za ndago sio issue Joh. Muamini Mungu.

Issue inakuja unajilinda vp na mafirauni kama hawa ??? Inabdi uwe fit kiimani pia. Imagine Mangi kakuficha ki mazingara kwenye store ya hardware. Noma sanaa Joh. Hahahaha

Kweli mafirauni hao, work hard and believe in yourself that's all
Nimekuelewa vizuri saana
 
Ila wangetoka kaskazini ndo matajiri halali wakitoka kusini sio halali toa evidence ya uchawi kwa Wakinga

Hiii ni kwa wrote mkuu
Tena huko kaskazini ndo usipime!

Wakinga haina kuuliza kawaida hiyo
 
Siamini katika uchawi.

tang'ana;
Sijui ni mimi tu sikukuelewa. Huamini nini katika uchawi? Huamini kuwa kuna uchawi au huamini kutajirika kiuchawi? Vyote hivyo vipo kwani hata vitabu vitakatifu vimeandika habari za uchawi na wachawi.
Pia usiache kuamini kuwa kuna mali zinapatikana kiuchawi ila tatizo lake ni kuwa, mali zile ni za mda mfupi nazo hupotea na kukuacha katika aibu kuu.
Mali za kichawi hazirizishwi mtu mwingine. Ukifa na kila kitu chafa na weye. Kafara hutolewa kila siku, kama bungeni ndo usiombe. Watu waliwahi kwenda kuweka vitu mle kiasi kwamba hata cct camera zile hazikumshika jamaa akiwa kazini. Si wakumbuka enzi za Mh. Six??? Uchawi upo, na wachawi wapo ila they live for a short tyme na hizo raha zao.
Utajiri wa kweli hauji kwa kujinyima wala kwa uchawi ila kwa kukaa sawa sawa na mapenzi ya Mungu akubariki kwani ametuahidia baraka.
Wapo watu tunawajua, hawaruhusiwi kuvaa suruali, viatu, kulala kwenye nyumba zao ikifika saa 12 jioni ni mwisho wake kuingia ndani ya nyumba aliyoijenga. Kuna mwingine jirani yetu tu hapa, saa 11 alfajiri, lazima akanye njia panda kila siku. Mateso gani haya jamani??
Tafuta kwa njia nzuri na utatajirika tuuu. Mungu anipe utoshelevu na amani vyanitosha
 
Aaaah bwana wewe acha ibishi bwana, wakinga wengi walipata utajiri kwa njia za majoka.... unajua nini kuhusu mwakipande

Mkuu huyu hawajui wakinga anawasikia,atuulize tuliokua nao na kuishi nao
 
Dunia haiumwi wanaoumwa ni wale waishio duniani
 
Utajiri ni mmoja tu ndugu,hakuna wa ushirikina wala wa nini...umeshafatilia maaharti mengine wanayopewa hao watafuta utajiri kwa waganga,mwisho utakuta masharti hayo yanawarudisha kulekule kwenye kufanya kazi kwa bidii na si kwenda kulala miguu juu kusubiri hela zitoke hewani...waganga ni wajanja..hutakiwi kuamini wanachosema hata waseme wangapi

Pole mkuu km ulikuwa hujui!.hakuna kitu km hicho,
Kuna utajiri wa halali na wa kishirikina
 
Bulldog mapepo na majini Vipo na ni roho zinazotangatanga unaweza usiamini lakini kumbuka hata kwenye misahafu haya mambo yameongelewa kwa mapana yake
Kuna ile habari ya Bwana Yesu kuwaamuru mapepo wamtoke yule mtu nayo yakamuuluza tukitoka twende wapi? Akayaelekeza kwenda kwenye kundi la nguruwe ambao walitimka na kuingia baharini
Ua ryt mdau kabisa,,,,,,,,,,,,,,,,MAJINI yametajwa sana kwenye QUR'AN
 
Kiyoya hili jambo la kutafuta utajiri wa haraka limeitafuna jamii vibaya sana asilimia kubwa sana ya wafanyabiashara wanafanya haya mambo
Kuna hili kundi lingine ambalo watu hawalijui lakini nalo linafanya uchafu mwingi sana kwa maagizo ya waganga MAMA NTILIE NA WAUZA VYAKULA watu wanalishwa uchafu mwingi sana kwenye hii sekta epuka sana chakula cha mamantilie ambaye kamwe hali alichopika mwenyewe
Biashara ndogo nyingi kama saluni maduka ya nguo mafundi mbalimbali na hata kwenye mabar wote hawa ni mabingwa wa kwenda kwa waganga kusaka utajiri!tusivae miwani ya mbao wakati haya mambo yapo live kabisa kwenye jamii yetu

Umesahau ile wanawavalisha watoto wadogo vitu vyeusi wanaita eti dawa. Yaani mtoto akizaliwa wanatafta tambara jeusi wanafunga hayo madawa na kitovu cha mtoto eti dawa ili asidhurike na wachawi. Kwangu mimi naona ni upungufu wa Imani kabisa!Mbona mimi binafsi sijawahi wavalisha watoto wangu hizo kitu na wamekuwa na wanakua vizuri tu bila shida? Kinachonishangaza hata watu ambao wamesoma na kuelimika bado wanaizo imani!!Jirani yangu Daktari wa Ocean Road kamfunga mwanae hizo kitu, dah!!!Ni shida
 
Ivi vitu watu wana dharau ila vipo. Usione mwanao anafanya vitu vya ajabu ajabu ukasema zezeta au ana kasoro flan. See beyond what u see or understand under normal circumstances.[/QUOTE]
hapa mkuu nakubaliana na wewe, mtoto anakuwa anafanya mambo ya ajabu na harekebishiki kuna mambo yanaendelea nna ushahidi na hili.
 
Umesahau ile wanawavalisha watoto wadogo vitu vyeusi wanaita eti dawa. Yaani mtoto akizaliwa wanatafta tambara jeusi wanafunga hayo madawa na kitovu cha mtoto eti dawa ili asidhurike na wachawi. Kwangu mimi naona ni upungufu wa Imani kabisa!Mbona mimi binafsi sijawahi wavalisha watoto wangu hizo kitu na wamekuwa na wanakua vizuri tu bila shida? Kinachonishangaza hata watu ambao wamesoma na kuelimika bado wanaizo imani!!Jirani yangu Daktari wa Ocean Road kamfunga mwanae hizo kitu, dah!!!Ni shida

Huyo amesoma na hajaelimika na amefungwa na nira za kutegemea nguvu zisizoonekana wala kuekezeka
 
boss hiyo ni imani yako tu.
wakinga wanatafuta hela mahali popote na wanaishi maisha ya kujibana ndio maana wanakuwa na mali pale wanapozipata.
matumizi mabaya ya kile kidogo unachopata yanakufanya usifanikiwe hata kidogo.

mkinga asubuhi anakunywa chai nyumbani, mchana analetewa chakula kutoka nyumbani, jioni anaenda kula nyumbani kwa nini asiwe na hela?
dukani kwake yupo yeye na mkewe ndio wauzaji akiweka msaidizi basi ni ndugu yake.
kwani wangapi wameenda kwa waganga na bado biashara zikagoma/kuanguka?
siku zote hata kwa anayetegemea mshahara, matumizi mazuri ya anachopata ndio mafanikio yake.
sio mtu kila siku asubuhi anaamkia supu ya kuku, mchana nyama choma na jioni kitimoto na bia juu.
huyu hawezi kufanikiwa.

nimeipenda hii
 
Utajiri ni ile hali ya kumiliki mapesa mengi na kuwa na mali nyingi, utajiri ni mzuri kwa kuwa unakupa uwezo nguvu mamlaka sifa na umaarufu!kwa kifupi Utajiri ni kitu chema.

Watu wengi hutafuta utajiri kwa njia mbalimbali halali na haramu wao wanachotaka ni utajiri ili waweze kutimiza ndoto zao nyingi.

Sasa kuna wakati mtu hutafuta utajiri kwa njia za mkato hapa nazungumzia kwa njia za ushirikina na uchawi.

Utajiri huu ni mzuri na huja haraka lakini ukiwa na masharti mengi lakini kubwa likiwa ni kutoa kafara la damu kwa kuangamiza roho.

Unapoingia kwenye utajiri huu mwanzoni utafurahia na masharti utayaona mepesi lakini kadiri siku zinavyozidi kwenda mambo hubadilika na tabu huanzia hapo.

Mwanzoni utaambiwa toa kafara la damu ya kuku baadae itakuja mbuzi, halafu itafuatia ng'ombe na mwishowe itakuja binadamu mmoja na hatimaye kwa makundi.

Hii yote ni kutaka kulinda utajiri wako usiporomoke na ukivunja masharti kila kitu kinaharibika .

Kuna pia masharti ya kujisaidia kulala kula kuvaa na hata matumizi ya vitu mbalimbali. Mwanzoni inakuwa ni rahisi tu kwenda sambamba nayo lakini mbeleni mambo hubadilika hasa pale watu wanapoanza kuhoji hiki au kile.

Wote tunajua jamii ya watu wenye ulemavu wa ngozi inavyoteketea kutokana na waganga wa kienyeji kuwaaminisha wateja wao kuwa viungo hivyo vikichanganywa na dawa nyingine huleta utajiri bahati nguvu na uwezo! Kuna zaidi ya waganga 300 kwenye mahabusu na Magereza mbalimbali wenye kesi zinazowahusisha na mauaji ya albino.

Jamani utajiri wa masharti ya namna hii haufai na mwishowe huwa na anguko kuu tunashuhudia visa vya kila aina kuhusiana na utajiri wa namna hii lakini kila uchao watu hawakomi kuendelea kuutafuta.

Hakika dunia inaumwa.

Wakinga na wapemba ina wahusu sana hii mada na hata ndugu zangu wamakonde hakuna tajiri hata mmoja wa kimakonde ambae utajiri wake ni wa halali wote ni wa ngende!
 
mshana jr

Mimi nachojiulizaga hizo kafara huwa zina uhusiano gani na utajiri? yani ni process gani inafanya mtu apate hayo mahela baada ya kumuua ndugu/jamaa yake.

Mkuu palipo na damu kuna agano!!
Hili somo pana.

Sasa basi hakuna chochote kinachokamilisha agano/mkataba isipokua damu.na kumbuka kwenye hayo maagano/mikataba huwa kuna mashart!....

Sasa basi kinachofanyika kwa waganga baada ya msaka huo utajiri kuwekeana mkataba/agano,mashart pamoja na yote huambiwa leta kuku,mbuzi,ng'ombe, mtu kulingana na level ya utajiri though kwa kuanza wengi wanaanzia hapa chini yaani kuchinja kuku,mbuzi nk

Sasa hapa mganga anachofanya ni kidogo tu kuyaita hayo majini/mapepo ya utajiri na kuyaambatanisha na mhusika,so hizo roho au majini yanatii na kumfanyia kila kitu huyu mhusika anachotaka kulingana na mashart husika aliyopewa huko!!

Sasa kadri utajiri unapokua,ujue na kafara zinatofautiana ndo hufikia mahali zinatakiwa damu za watu!!!ss hapa ndo kasheshe ilipo!
Na pia inategemea mashart yenu mliyopeana Kule mwanzo!

Baadhi ya mashart unaweza kuta kila mzaliwa 1 kwny hiyo family anatolewa kafara,au kufanywa zezeta au hakuna kuoa/kuolewa,hakuna kufanikiwa ht ufanyaje,au kifafa kwa mtt 1 yaani mengi mno!!!

Nb,ubaya wa mashart hayo huwa yanabeba ukoo/familia nzima na hapa ndo shida!
 
Last edited by a moderator:
SISI wakinga hatutumii uchawi bali maarifa tu. Kwanza utakubaliana na mimi kwamba wakinga ni wachapa kazi, hili halina ubishi it is there for all to see.
Wakinga sio wahongaji, wakinga hawavai nguo za bei mbaya, hawanunui magari ya kutanulia, hawanywi pombe za matanuzi, hawali nyama, wakisafiri hawali njiani maana kuna ule mkate wao wa kikinga ambao husafiri nao, kanisani wanatoa kiasi kidogo tu. Kwanini wasilimbikize mali ? Hutegemei kuona tajiri mbondei kwasababu tabia zao ni kinyume kabisa na za wakinga. Kama kuna mtu alishawahi kuona tajiri wa kibondei aingie pm nimtumie vocha anipigie.
 
Mkuu palipo na damu kuna agano!!
Hili somo pana.

Sasa basi hakuna chochote kinachokamilisha agano/mkataba isipokua damu.na kumbuka kwenye hayo maagano/mikataba huwa kuna mashart!....

Sasa basi kinachofanyika kwa waganga baada ya msaka huo utajiri kuwekeana mkataba/agano,mashart pamoja na yote huambiwa leta kuku,mbuzi,ng'ombe, mtu kulingana na level ya utajiri though kwa kuanza wengi wanaanzia hapa chini yaani kuchinja kuku,mbuzi nk

Sasa hapa mganga anachofanya ni kidogo tu kuyaita hayo majini/mapepo ya utajiri na kuyaambatanisha na mhusika,so hizo roho au majini yanatii na kumfanyia kila kitu huyu mhusika anachotaka kulingana na mashart husika aliyopewa huko!!

Sasa kadri utajiri unapokua,ujue na kafara zinatofautiana ndo hufikia mahali zinatakiwa damu za watu!!!ss hapa ndo kasheshe ilipo!
Na pia inategemea mashart yenu mliyopeana Kule mwanzo!

Baadhi ya mashart unaweza kuta kila mzaliwa 1 kwny hiyo family anatolewa kafara,au kufanywa zezeta au hakuna kuoa/kuolewa,hakuna kufanikiwa ht ufanyaje,au kifafa kwa mtt 1 yaani mengi mno!!!

Nb,ubaya wa mashart hayo huwa yanabeba ukoo/familia nzima na hapa ndo shida!

Na kwenye haya masharti kuna
-ya kulala na mamaako/babaako/mwanao
-kulala na mtoto mdogo/mchanga.ndio maana kuna habari nyingi sana za watu kubaka vitoto vidogo kabisa tena vingine vya miezi tuu
 
Back
Top Bottom