Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 34,434
- 59,289
Mkuu nishafanya research mpaka nimeamua kupoteza tu cz design nimeona nikifatilia sana such stuff naweza nikawa tempted to try it. Lol
You know i dont wanna do that shit. Tehe... Patience and working smart is the talent. Hela za ndago sio issue Joh. Muamini Mungu.
Issue inakuja unajilinda vp na mafirauni kama hawa ??? Inabdi uwe fit kiimani pia. Imagine Mangi kakuficha ki mazingara kwenye store ya hardware. Noma sanaa Joh. Hahahaha
Kweli mafirauni hao, work hard and believe in yourself that's all
Nimekuelewa vizuri saana