zipompa
Thank you.
Nilikua mbishi sanaaa mpaka nlivyo shuhudia Moshi huko kwa macho yangu ni shida ndugu.
There are lots of things going on in the spiritual world. Mila za kichagga ni very powerful na ukifanya masihara wataanguka watu utashangaa na macho yako kama sio kudhurika.
Yupo Aunty yangu flan alitoka nnje ya ndoa akashika mimba nnje na mtu mwingine akamdanganya mmewe ni yake. Yule mtoto wa nnje alivyozaliwa kwenye ile nyumba yao. Kulitokea balaa.
Watoto wengine wa ile nyumba ilikua full kuumwa, hospital ugonjwa hauonekani vitimbi kibao, watu wametoa pesa kibao kutibia. Babu yetu wa ukoo akabutuka akasema ile mimba sio ya nyumba yetu (ukoo wetu) ndio maana.
Mwanamke kubanwa akakubali cz watoto wale wengine wangeweza dhurika kwa kiasi kikubwa. Ikafanywa mila kile kichanga kikarudishwa kimila kwenye ukoo wao (baba yake). Watoto siku mbili nyingi wakapona wote.
Kuna makabila haya dhulumiwi watajua tu, kuweni makini mnapo oa / kuolewa.