Utajiri wa kishirikina unavyotesa wengi

Utajiri wa kishirikina unavyotesa wengi

huu utajiri ni hatari sana,juzi nmeponea chupuchupu kutolewa kafara
 
watu wajitume tu mambo ya utajiri sijui mtu kapata kwa mganga kwa ulimwengu wa sasa hayana nafasi
 
Kuna mfanya biashara mmoja (mchagga) mkubwa tu hapa Dar nampata...yuko makini sanaa ana utajiri wa ajabu (hayuko top 10 among the richest in Tz, maybe top 20 or 25).

Hela zake ni za mapaka live, kama una akili zilizotulia ni rahisi kumjua. Ndugu zake wengi wanakuambia jamaa sio kabisa. Washazika sana ndugu zao wakimlaumu jamaa. Kila baada ya muda flan anaanguka mtu ki utata sanaa uki connect the dots, with facts and good analysis unajua kabsa jamaa anahusika.

I'm chagga i kno my people well...Hizi issue zipo sanaaa. Nashindwaga elewa ki undani kuna mechanism gan kati ya kutoa ndugu na kupata utajiri. Whats the secret code behind ?? Ukiangalii juu juu utaona tu jamaa anajituma kwa bidii nd stuff like that. Ki uhalisia unakuta anaogopeka balaa.
 
Kiyoya hii kitu ni kila mahali mpaka kwenye ndoa na mahusiano hata kwenye dini zetu huwezi amini watu wanaroga sana tu,ila niliamua kuanza na kipengele kimoja kwanza cha utajiri .nitakuja na kingine cha dini ambacho najua nitapata upinzani mkubwa sana

Hicho cha udini naomba ukuweke fasta ili uweze kuokoa roho nyingi zisije angamia kwa kujua au bila kujua. halafu Mshana Jr naona unajua mambo mengi, naomba ruhusa niku PM siku moja tusaidiane
 
Kuna mfanya biashara mmoja (mchagga) mkubwa tu hapa Dar nampata...yuko makini sanaa ana utajiri wa ajabu (hayuko top 10 among the richest in Tz, maybe top 20 or 25).

Hela zake ni za mapaka live, kama una akili zilizotulia ni rahisi kumjua. Ndugu zake wengi wanakuambia jamaa sio kabisa. Washazika sana ndugu zao wakimlaumu jamaa. Kila baada ya muda flan anaanguka mtu ki utata sanaa uki connect the dots, with facts and good analysis unajua kabsa jamaa anahusika.

I'm chagga i kno my people well...Hizi issue zipo sanaaa. Nashindwaga elewa ki undani kuna mechanism gan kati ya kutoa ndugu na kupata utajiri. Whats the secret code behind ?? Ukiangalii juu juu utaona tu jamaa anajituma kwa bidii nd stuff like that. Ki uhalisia unakuta anaogopeka balaa.

Hili tumelisikia sana between utajiri na kutoa ndugu, kwa imani mimi siamini uchawi ingawa upo,
Najaribu kuuliza watu lakini sipati jibu kama wewe labda mshana jn atafanya utafiti huo
 
kisu kwenye mfupaumegonga mshana jr
kanda ya ziwa matajiri wengi ni shida,kuna ndugu wawili nawafahamu kabisa utajiri wao unamashaka kabisa ,kuna huyo mzee ni maarufu congo,rwanda na Burundi yote wanamtumia kwa mambo hayo.hii dhana ya utajiri wa kishirikina ipo sana watu wanajenga nyumba zao lazima wafukie vitu kibao eti kinga...watu wana mihirizi kibao kiunoni.
 
Hicho cha udini naomba ukuweke fasta ili uweze kuokoa roho nyingi zisije angamia kwa kujua au bila kujua. halafu Mshana Jr naona unajua mambo mengi, naomba ruhusa niku PM siku moja tusaidiane

Karibu simakoku muda wowote
 
Last edited by a moderator:
Siamini uchawi ila kuja pande za kkoo mtaa wa kongo, halafu kuna aggrey bwana wee kuna vibweka ukivisikia hutotamani hela za watu,

Kuna kajamaa kadogo sana nakajua kapo vizuri nyumba za kutosha mjini hapa yani ni nyingi kiukweli ila sasa ole wake anunue hata vitz aone cha moto, mwendo boda boda tu na daladala, kibindoni kuna mguu wa kuku...
Bishoo matata, bata sana watoto wazur kama kawaida..
 
Siamini uchawi ila kuja pande za kkoo mtaa wa kongo, halafu kuna aggrey bwana wee kuna vibweka ukivisikia hutotamani hela za watu,

Kuna kajamaa kadogo sana nakajua kapo vizuri nyumba za kutosha mjini hapa yani ni nyingi kiukweli ila sasa ole wake anunue hata vitz aone cha moto, mwendo boda boda tu na daladala, kibindoni kuna mguu wa kuku...
Bishoo matata, bata sana watoto wazur kama kawaida..

Hahahahaaaaaaa mwiko kabisa kumiliki kitu chenye tairi nne ila itafika mahali atachemsha na hapo ndio Kutakuwa na kilio cha kusaga meno
 
Mbaya zaidi ni ukiisha kuwa na huo utajiri,
ukifa maiti yako inazikwa na nguo au sanda moja
kama watu wengine,maskini au tajiri.
ukienda huko uendako,unakuta kesi za hao uliokatisha maisha
yao kisa eti unatafuta utajiri.

Huku duniani,wanachinja wanyama wengi
kwa kudai kuwa watu wale wanywe,kwani aliyekufa ni mtu maarufu
utadhani na yeye atakula.
Mbaya zaidi wanandugu wanaanza kugombania
hizo mali zako,si ajabu watoto wako wakaambulia patupu
coz nawe ulidhurumu sharti udhurumiwe.

Nakuunga mkono mkuu,mali ya uchawi ya kuogopa
kama ukoma.
 
boss hiyo ni imani yako tu.
wakinga wanatafuta hela mahali popote na wanaishi maisha ya kujibana ndio maana wanakuwa na mali pale wanapozipata.
matumizi mabaya ya kile kidogo unachopata yanakufanya usifanikiwe hata kidogo.

mkinga asubuhi anakunywa chai nyumbani, mchana analetewa chakula kutoka nyumbani, jioni anaenda kula nyumbani kwa nini asiwe na hela?
dukani kwake yupo yeye na mkewe ndio wauzaji akiweka msaidizi basi ni ndugu yake.
kwani wangapi wameenda kwa waganga na bado biashara zikagoma/kuanguka?
siku zote hata kwa anayetegemea mshahara, matumizi mazuri ya anachopata ndio mafanikio yake.
sio mtu kila siku asubuhi anaamkia supu ya kuku, mchana nyama choma na jioni kitimoto na bia juu.
huyu hawezi kufanikiwa.
Nyalotsi umekamua vema
 
Last edited by a moderator:
mshana jr

Bonge moja la topic. Me mtaani kwetu kuna jamaa mmoja mmeru basi ameua ndugu zake wote (sacrifice) na juzi juzi mwezi wa pili kammalizia maza ake, at the first sikuelewa coz umri ulikuwa haujachanganua mambo wakati napewa hizi story!

Miaka minne iliyopita na sasa hivi ndo nikaelewa kinachoongelewa, yaani kila akiua anaandika jina mali ( mfano akinunua fuso anaandika jina la ndugu yake aliyekufa) maza ake kafa juzi amenunua mjengo wenye ghorofa mbili kauandika jina la mama ake!

Masharti nuksi!
​Jamaa kiboko,naona mashart yake ni ya KIPEKEE KABISA
 
Senior Boss hapo ni ile sheria ya KUTOA ILI KUPOKEA inapokuja. Yani in order to get something, you must give something else in return. Ni sawa na unapoenda dukani, utatoa hela kupata bidhaa.

Sasa huko kwenye mambo ya giza uhai na damu ndio vitu vikubwa vinavyotakiwa kutolewa ili mtu apate anachohitaji. Kwa kutoa uhai wa mtu unakuwa umeonyesha comitment yako to the devil(Kwamba nyie ni wamoja) na wakati huo huo unaonyesha shukrani kwa kumpa zawadi ambayo ni DAMU.

mshana jr endelea na somo watu wajifunze. Maana wanaojiingiza huko wengine huwa hawajui kwamba ni kugumu mpaka wadumbukie kabisa na unakuta its a bit late to turn around kwahiyo mtu anaona aendelee tu.

Ila kwa kujua mapema wengine wanaweza wakanusurika. Hiyo ya uchawi kwenye dini ndo inanifanya niyaogope na kuyachukia makanisa ya kiroho yasiyoisha kutangaza miujiza waliyofanya. Bora nijiombee mwenyewe kuliko kuombewa alafu ukute anaeombwa kwa niaba yako sio Mungu unaemuamini bali ni miungu ya giza.
 
Back
Top Bottom