Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 37,108
- 55,524
- Thread starter
- #141
Ukitaka mali, utaipata shambani.
Hakuna namna, turudi shambani, kuna milio ya kila namna ya ndege wakitumbuiza.
Ukitaka mali, utaipata shambani.
Rudi shambani achana na uchinga hapo mjini 😀Subiria nikutafutie uliko download hii picha narudi
Kwa nini usiende ukiwa na miaka 50?Nikifikisha miaka 60 nitarudi kijijini. Tayari ninalo eneo na Nimepanda miti na ina servant house, nitajenga siku zijazo.
Nikifa kabla ya 60 basi nitarudishwa nikiwa sijui.
Wadau huu jamaa ni muongo sana hii picha kadownload hapa mtandao huu ninaposema huu jamaa ni muongo na mimi kazi yangu ni kumuumbua kuanzia story aliandika chatgpt hayab picha hii hapa alimjibu mtu katoa kwenye website hii
Picha hii umedownload website hii wewe ni tapeli sana na muongo muongo hapa acha kudanganya watu wajinga wanajaaa sana sasa mimi kazi yangu kudeal na wajinga bonyeza link hii kuona huyu mjinga alikotoa picha KIJIJI CHA KIMARORONI, KILEMA.-Urithi Wetu Wachagga-Urithi Wetu Wachagga-
50 Bado 11 tu nitakua nimejipata kweli?Kwa nini usiende ukiwa na miaka 50?
Wewe achana nae tapeli huyo hata picha anadownload story nzima kaandika na chatgpt50 Bado 11 tu nitakua nimejipata kweli?
But Kuna mawazo Fulani mazuri, inahitaji pesa ya kueleweka kufanya yote hayoWewe achana nae tapeli huyo hata picha anadownload story nzima kaandika na chatgpt
Hii yote, hutaki kurudi kijijini?Wadau huu jamaa ni muongo sana hii picha kadownload hapa mtandao huu ninaposema huu jamaa ni muongo na mimi kazi yangu ni kumuumbua kuanzia story aliandika chatgpt hayab picha hii hapa alimjibu mtu katoa kwenye website hii
View attachment 3418548
Hii ndio madhara ya kukaa mjini, magonjwa ya akili hayakwepeki.Picha hii umedownload website hii wewe ni tapeli sana na muongo muongo hapa acha kudanganya watu wajinga wanajaaa sana sasa mimi kazi yangu kudeal na wajinga bonyeza link hii kuona huyu mjinga alikotoa picha KIJIJI CHA KIMARORONI, KILEMA.-Urithi Wetu Wachagga-Urithi Wetu Wachagga-
Ukijipa miaka 5, unaweza kufanya cha maana kwa kiasi50 Bado 11 tu nitakua nimejipata kweli?
Inabidi wewe upewe kazi ya kung'oa visikiWewe achana nae tapeli huyo hata picha anadownload story nzima kaandika na chatgpt
Visiki vya chatgpt na kudownload picha GoogleInabidi wewe upewe kazi ya kung'oa visiki
Ulishawahi kumuona malkia wa mchwa kwa macho?Visiki vya chatgpt na kudownload picha Google
Tupe tafsiri ya kijiji kwa maana ya kibongo please.Hii ndio madhara ya kukaa mjini, magonjwa ya akili hayakwepeki.
Kijiji ni eneo linalokaliwa na watu wachache kutoka nje ya mji.Tupe tafsiri ya kijiji kwa maana ya kibongo please.
Tupe uzoefuMimi Niko toka2016 life is good