Utahamia lini kijijini?

Utahamia lini kijijini?

WAKUU NAOMBA nipewe muongozi wilaya ya mafia huko NDO NAENDA KUWEKA kambi WAKUU. Wenyeji WA hukoo pliz ramani🙏




Kwishaaaaaa
Karibu sana, mi niko karibu na Jibondo, Jibondo iko kusini ya mafia kilometa kidogo tu. Huku ni pwani pacee, amani tele hasa kama utafuata na kufanya kilicho kuleta. Njoo na utafanya biashara zako zote kwa raha zako, hatuna wivu na mtu. Ila usiparamie wake zetu basi, watu ni wakarimu sana.
 
Karibu sana, mi niko karibu na Jibondo, Jibondo iko kusini ya mafia kilometa kidogo tu. Huku ni pwani pacee, amani tele hasa kama utafuata na kufanya kilicho kuleta. Njoo na utafanya biashara zako zote kwa raha zako, hatuna wivu na mtu. Ila usiparamie wake zetu basi, watu ni wakarimu sana.
Safi mkuu Bora nmekupata nisaidie mambo yafuataayo.
1. Najihusisha na kuuza MIKOBA ya WADADA. Mabegi ya shule nk JE soko lipo huko.
2. Ardhi bei zake Zina unafuu MANA NAPENDA nikuishi sehemu nijenge.
3. PESA IPO.
4. NAPENDA kujiburudisha weekend JE MAeneO ya Bata mziki nk YAPO? Yamechanganya . MANA kipimo cha WATU kua na HELA sehemu huendana na muamuko WA SEHEM za starehe.
5. Usafiri WA maji ni WA uhakika.

Asante mkuu NMEMPATA RAFIKI WA kudumu


Kwishaaaaaaaaa
 
Safi mkuu Bora nmekupata nisaidie mambo yafuataayo.
1. Najihusisha na kuuza MIKOBA ya WADADA. Mabegi ya shule nk JE soko lipo huko.
2. Ardhi bei zake Zina unafuu MANA NAPENDA nikuishi sehemu nijenge.
3. PESA IPO.
4. NAPENDA kujiburudisha weekend JE MAeneO ya Bata mziki nk YAPO? Yamechanganya . MANA kipimo cha WATU kua na HELA sehemu huendana na muamuko WA SEHEM za starehe.
5. Usafiri WA maji ni WA uhakika.

Asante mkuu NMEMPATA RAFIKI WA kudumu


Kwishaaaaaaaaa
Naongezea pia
6. Umeme UPO ni WA uhakika
7. Maji
8. Mitandao ya simu inashika VIZURI.
 
Safi mkuu Bora nmekupata nisaidie mambo yafuataayo.
1. Najihusisha na kuuza MIKOBA ya WADADA. Mabegi ya shule nk JE soko lipo huko.
2. Ardhi bei zake Zina unafuu MANA NAPENDA nikuishi sehemu nijenge.
3. PESA IPO.
4. NAPENDA kujiburudisha weekend JE MAeneO ya Bata mziki nk YAPO? Yamechanganya . MANA kipimo cha WATU kua na HELA sehemu huendana na muamuko WA SEHEM za starehe.
5. Usafiri WA maji ni WA uhakika.

Asante mkuu NMEMPATA RAFIKI WA kudumu


Kwishaaaaaaaaa
Mafia ni makao ya Wilaya, huduma zipo mpaka uwanja wa mbayuwayu upo vizuri sana, ni 24/7 unatoa huduma. Kuna baadhi ya Hotel wewe huwezi kuingia labda baada ya miaka mia ijayo. Watu wa huku ni Muslims na wanafanya Ibada sana, so starehe zisizo na mipaka huku hakuna. Siyo unapiga maji halafu ukakae upenuni kwa shehe. Kwa utalii ndo kwenyewe, mzunguko wa pesa upo sana ktk biashara za mahitaji ya nyumbani. Viwanja vipo, maji na umeme upo.
 
Mafia ni makao ya Wilaya, huduma zipo mpaka uwanja wa mbayuwayu upo vizuri sana, ni 24/7 unatoa huduma. Kuna baadhi ya Hotel wewe huwezi kuingia labda baada ya miaka mia ijayo. Watu wa huku ni Muslims na wanafanya Ibada sana, so starehe zisizo na mipaka huku hakuna. Siyo unapiga maji halafu ukakae upenuni kwa shehe. Kwa utalii ndo kwenyewe, mzunguko wa pesa upo sana ktk biashara za mahitaji ya nyumbani. Viwanja vipo, maji na umeme upo.
Inamanisha wazungu WAPO WA kutosha huko JE ni kwa season TU au SIKU zote. NIKIWA na LAKI Tano kiwanja naweza PATA hata shambaa huko? Punda mnyama huko WAPO? maana nakazi NAO. Asante mkuu 🙏 🙏
 
Naongezea pia
6. Umeme UPO ni WA uhakika
7. Maji
8. Mitandao ya simu inashika VIZURI.
Biashara za mahitaji ya watoto, vijana na wanawake ziko poa sana. Biashara za mazao ya bahari ipo (samaki, majongoo bahari, mwani, pweza, nk). Vitu vya urembo vinalipa sana huku visiwani.
 
Tangu nilipoondoka mjini na kukimbilia huku kijijini, nimekuwa na maisha ya amani na utulivu mkubwa sana.

Nilifanikiwa kupata shamba la ekari nne, ambapo nilijenga kibanda changu cha kujipumzikia pamoja na mama chanja wangu, pia nikachimba na kisima.

Nikaweka uzio wa mimea kuzunguka hilo eneo lote la shamba, ili mifugo yangu isiweze kutoroka hapa na pale.

Nililigawa eneo kwa makundi (A,B,C,D,E) ili kuweka mifugo mabali mbali.

A. niliweka banda la ng’ombe 5 kwa ajili ya kunipa maziwa kila siku

B. niliweka banda la mbuzi 50 kwa ajili ya kubadilisha mboga

C. niliweka banda la kuku wa kienyeji 200 kwa jili ya mayai na nyama

D. nimeweka banda la kitimoto 50 kwa ajili ya nyama

E. bustani ya mboga mboga, nyanya, vitunguu, mchicha n.k

Pia nikaotesha miti ya matunda kama michungwa, papai, parachichi, migomba, miwa n.k

Mabaki/uchafu unaotoka kwenye mifugo, unakuwa unaenda maeneo ya shambani/bustanini na kuboresha uoto wa mimea.

Kwa ujumla, mazingira haya yameniwezesha kuwa na utulivu wa akili, uchumi, na afya bora; magonjwa ya akaili hayatanipata.

Rafiki yangu mmoja, alikuja kunitembelea huku kijijini kwangu; alipofika tu na kusikia miluzi mbalimbali ya ndege ikipiga pambio, akaniambia, ‘’Equation x na mimi sirudi tena mjini.’’

Nikamuuliza kwa nini? akanijibu, ‘’tangu nimekuja huku, akili yangu imetulia kabisa, naokota matunda nakula, mayai nakula nitakavyo, kachumbari najitengenezea, nyama nachoma nitakavyo, Napata hewa safi, ndege wanakuja na kuniimbia nyimbo mbalimbali; kusema kweli naenda kuuza mali zangu zote mjini na mimi nakuja kuhamia huku kijijini.’’

Nikabaki nacheka tu.

Je, wewe, utahamia lini kijijini?
View attachment 3418535
NItahamia mpka kitambaa ifungwe 😅😅😅
 
Inamanisha wazungu WAPO WA kutosha huko JE ni kwa season TU au SIKU zote. NIKIWA na LAKI Tano kiwanja naweza PATA hata shambaa huko? Punda mnyama huko WAPO? maana nakazi NAO. Asante mkuu 🙏 🙏
Wazungu wapo, kuna kipindi wanakuwa wengi sana, Punda hawapo, ila ng`ombe/mbuzi/kondoo wapo. Waarabu wapo pia.
 
Biashara za mahitaji ya watoto, vijana na wanawake ziko poa sana. Biashara za mazao ya bahari ipo (samaki, majongoo bahari, mwani, pweza, nk). Vitu vya urembo vinalipa sana huku visiwani.
SAWA KAKA NMEULIZA KUHUSU VIWANJA bei zake JE NIKIWA na LAKI Tano naweza PATA? Wanyama punda huwa nawatumia KWENYE usafirishaji mali za WATU JE WAPO?
 
SAWA KAKA NMEULIZA KUHUSU VIWANJA bei zake JE NIKIWA na LAKI Tano naweza PATA? Wanyama punda huwa nawatumia KWENYE usafirishaji mali za WATU JE WAPO?
Punda huku hawapo sbb mizigo haipo. Viwanja mpaka wenyeji wakukatie, siyo biashara kama Mkuranga. Kumbuka eneo siyo kubwa kama bara. Ila vipo. Nitauliza.
 
CHAI YA BARIDI,
IMEKARIBIA KUGANDA.

Chap chapa nipe consumption ya pumba na maji per day.
Ukiemda chat GBT ukaleta takwim za kupika ntakukamata ambapo hujaeleza kuwa na kibanda cha wafanyakazi, ila umesema ypo wewe na mkeo... wewe na mkeo hamuwez kuhudumia hao wanyama abadan + bustani.

Sasa bosi hao mbuzi, kuku, nguluwe , na ng'ombe ulihitaji kuwa na vijana watatu kama ungefuga kwa mtaji wa vifaa na machine. ... kwakukosa vijana na maelezo thabiti .... Basi hapo umenipa chai.
ni chai tu.
Ohooo ...maji yamelowana huku....
 
Samahani nikisafirisha punda WAWILI kuwaleta huko kwa AJILI ya kubeba mizigo kama mchanga TU vitu kiasi Ina RUKSA au hawaruhusu


Kwishaaaaaaaa
 
Tangu nilipoondoka mjini na kukimbilia huku kijijini, nimekuwa na maisha ya amani na utulivu mkubwa sana.

Nilifanikiwa kupata shamba la ekari nne, ambapo nilijenga kibanda changu cha kujipumzikia pamoja na mama chanja wangu, pia nikachimba na kisima.

Nikaweka uzio wa mimea kuzunguka hilo eneo lote la shamba, ili mifugo yangu isiweze kutoroka hapa na pale.

Nililigawa eneo kwa makundi (A,B,C,D,E) ili kuweka mifugo mabali mbali.

A. niliweka banda la ng’ombe 5 kwa ajili ya kunipa maziwa kila siku

B. niliweka banda la mbuzi 50 kwa ajili ya kubadilisha mboga

C. niliweka banda la kuku wa kienyeji 200 kwa jili ya mayai na nyama

D. nimeweka banda la kitimoto 50 kwa ajili ya nyama

E. bustani ya mboga mboga, nyanya, vitunguu, mchicha n.k

Pia nikaotesha miti ya matunda kama michungwa, papai, parachichi, migomba, miwa n.k

Mabaki/uchafu unaotoka kwenye mifugo, unakuwa unaenda maeneo ya shambani/bustanini na kuboresha uoto wa mimea.

Kwa ujumla, mazingira haya yameniwezesha kuwa na utulivu wa akili, uchumi, na afya bora; magonjwa ya akaili hayatanipata.

Rafiki yangu mmoja, alikuja kunitembelea huku kijijini kwangu; alipofika tu na kusikia miluzi mbalimbali ya ndege ikipiga pambio, akaniambia, ‘’Equation x na mimi sirudi tena mjini.’’

Nikamuuliza kwa nini? akanijibu, ‘’tangu nimekuja huku, akili yangu imetulia kabisa, naokota matunda nakula, mayai nakula nitakavyo, kachumbari najitengenezea, nyama nachoma nitakavyo, Napata hewa safi, ndege wanakuja na kuniimbia nyimbo mbalimbali; kusema kweli naenda kuuza mali zangu zote mjini na mimi nakuja kuhamia huku kijijini.’’

Nikabaki nacheka tu.

Je, wewe, utahamia lini kijijini?
View attachment 3418535
Hapa cyo meru kweli make kibarabara cha nkoranga ndo upana huo wa rula😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom