bro alex
JF-Expert Member
- Jul 15, 2025
- 1,898
- 2,256
USIJALI mkuu takuja na Uzi WA punda naamini hamtawachukulia POA TENAWana utajiri gani?
Kwishaaaa
USIJALI mkuu takuja na Uzi WA punda naamini hamtawachukulia POA TENAWana utajiri gani?
Kuna sehemu nililishwa nyama yake bila kujua, niliitema kwa sababu haikuwa na ladha pendwa.USIJALI mkuu takuja na Uzi WA punda naamini hamtawachukulia POA TENA
Kwishaaaa
🤣🤣AI Ina respond kutokana na akili yako Mwambie Lucas Mashambwa atumie AI uone itakuaje.
Nimevua samaki 5 hapa mtoni, najaribu kuwachoma nile na malimao.Kwa nyuzi za imagination tu upewe tuzo..!!
Hahahah ILA SI anakula majani HUYO kiumbe Hana SHIDA na MTU HUYO , anza na NYAMA yake ya kukaanga au kuchoma ukizoea anza kupiga na supuKuna sehemu nililishwa nyama yake bila kujua, niliitema kwa sababu haikuwa na ladha pendwa.
Uru nini au Keni ??? Kwa matope hayo, itakuwa pande za huko loohUchagani