Utahamia lini kijijini?

Utahamia lini kijijini?

Kuna sehemu nililishwa nyama yake bila kujua, niliitema kwa sababu haikuwa na ladha pendwa.
Hahahah ILA SI anakula majani HUYO kiumbe Hana SHIDA na MTU HUYO , anza na NYAMA yake ya kukaanga au kuchoma ukizoea anza kupiga na supu


Kwishaaaaa
 
My take-wazo zuri,ila umetupanga sana.
Wekeza mjini uwe na income inayoeleweka--lets say unakusanya kodi ya majengo inayofika atleast 3M kila mwezi.
Ndio uhamie kijijini--ila usiuze.
 
Back
Top Bottom