Boss la DP World

JF-Expert Member
Dec 12, 2021
1,997
7,552
Utafiti wa Madaktari wa Idara ya Magonjwa ya Mfumo wa Mkojo katika Hospitali ya Benjamin Mkapa umebainisha kuwa mitindo mbalimbali ya kujamiiana inaweza kusababisha uume uliosimama kwa muda mrefu kuvunjika ukiwemo mtindo wa Mwanaume kukaliwa juu na Mwanamke mwenye uzito mkubwa.

Utafiti wa Madaktari hao umechapishwa kwenye Jarida la kimataifa la Case za Upasuaji (International Journal of Surgery Case Reports, 108(2023)108415) ambapo wameripoti kufanya upasuaji wa kuunga uume wa Kijana mwenye umri wa miaka 27 uliovunjika wakati akijamiana na Mkewe.

Kwa mujibu wa taarifa ya utafiti huo, ajali ya kuvunjika uume si suala lenye kujitokeza mara kwa mara, lina uwiano wa 1 kati ya Watu 175,000.

Hata hivyo, utafiti huo unadokeza kuwa tafiti zilizofanyika katika Mataifa ya Ulaya na Marekani zimeonesha kuwa asilimia 93.3 ya ajali za uume hutokana na kujamiiana, ambacho kilikuwa chanzo cha ajali ya uume aliyoipata Kijana aliyetibiwa katika Hospitali ya Benjamin Mkapa.

Vilevile, ajali za kuvunjika uume kwa kujichua (Punyeto) zinashika nafasi ya pili zikiwa na asilimia 10 huku mikao ya kujamiiana kama vile Mwanamke kukalia uume inatajwa kuwa chanzo kikuu cha ajali za kuvunjika uume.

Credit: Millard Ayo
 
Utafiti wa madaktari wa idara ya Magonjwa ya Mfumo wa Mkojo katika Hospitali ya Benjamin Mkapa umebaini kuwa mitindo ya kujamiiana inaweza kusababisha uume uliosimama kwa muda mrefu kuvunjika.

Utafiti wa madaktari hao umechapishwa kwenye Jarida la kimataifa la kesi za Upasuaji (International Journal of Surgery Case Reports, 108(2023)108415) wameripoti kufanya upasuaji wa kuunga uume wa kijana mwenye umri wa miaka 27 uliovunjika wakati akijamiana na mkewe.

Kwa mujibu wa taarifa ya utafiti huo, ajali ya kuvunjika uume si suala lenye kujitokeza mara kwa mara, linauwiano wa 1 kati ya watu 175,000.

Hata hivyo, utafiti huo unadokeza kuwa, tafiti zilizofanyika katika mataifa ya Ulaya na Marekani zimeonesha kuwa asilimia 93.3 ya ajali za uume hutokana na kujamiiana, ambacho kilikuwa chanzo cha ajali ya Uume aliyopata kijana aliyetibiwa katika Hospitali ya Benjamin Mkapa.

Vile vile, ajali za kuvunjika uume kwa kujichua zinashika nafasi ya pili zikiwa na asilimia 10.

Mikao ya kujamiiana kama vile Mwanamke kukalia uume inatajwa kuwa chanzo kikuu cha ajali za kuvunjika uume.

#KitengeUpdates

1688476689912.png
 
Popo kanyea juu ndio style nzuri ikifuatiwa na mbuzi kagoma, chuma mboga na nipe kwa nyuma. Style bora kuliko zote ni lala chali ikifuatiwa na ubavu ubavu japo stayle hizi hutegemea ukubwa na urefu wa uume. Lala chali ni style rafiki kwa vibamia ila uume sharti usimame. Hiyo mitindo mingine ni kuumizana tu na haina utamu unaotakiwa
 
Utafiti uliofanywa na idara ya magonjwa ya mfumo wa mkojo katika Hospitali ya Benjamin Mkapa umebaini mitindo ya kujamiiana inaweza kusababisha uume kuvunjika.

Utafiti huo unaeleza miongoni mwa mikao hiyo ni mwanamke kukalia uume.

Utafiti huo uliochapishwa leo Jumanne, Julai 4, 2023 kwenye Jarida la kimataifa la sababu za upasuaji (International Journal of Surgery Case Reports, 108(2023)108415) umeripoti kufanya upasuaji wa kuunga uume wa kijana mwenye umri wa miaka 27 uliovunjika wakati akijamiiana na mkewe.

Kwa mujibu wa taarifa ya utafiti huo, ajali hiyo siyo suala lenye kujitokeza mara kwa mara, lakini lina uwiano wa mwanamume mmoja kati ya 175,000.

Utafiti huo unadokeza kuwa, tafiti zilizofanyika katika mataifa ya Ulaya na Marekani zimeonyesha asilimia 93.3 ya ajali za uume hutokana na kujamiiana, ambacho kilikuwa chanzo cha ajali aliyopata kijana aliyetibiwa katika Hospitali ya Benjamin Mkapa.

Sababu inayoshika nafasi ya pili katika ajali hizo ni kujichua ikiwa ni kwa asilimia 10.

Chanzo: Mwananchi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom