uume

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. TAJIRI MKUU WA MATAJIRI

    Je, ni kweli ugonjwa wa Pangusa usipotibika uume unaweza kukatika na kudondoka chini?

    Sasa naona magonjwa yanaibuka kila siku. Nasikia huu ni ugonjwa unaoambukozwa kwa zinaa, na ukichelewa kuutibu kwa mwanaume uume huuathirika na hatimaye kukatika kabisa?
  2. TAJIRI MKUU WA MATAJIRI

    Kama nyama ni ilele, kwanini wanawake wengi hupenda wanaume wenye uume mkubwa?

    Kina dada naombeni jibu. Lady , To yeye, Madame B, Miss Angel ,FaizaFoxy, Money Penny
  3. K

    Upandikizaji wa uume (Penile implant)

    Nimesikia kuwa suruhisho kuu kwa upungufu wa nguvu za kiume ni hii huduma ya kuwekewa visaidizi ktk uume. Kuliko kunywa madawa na kubugia vumbi kila siku. Na wanasema pia asilimia za kulizika kati ya mke na mme ni 90-98% lkn pia kifaa hocho kina kaa miaka kati ya 10-15. Lkn pia unaweza kufanya...
  4. Wakuacha

    Nilikutana na mwanamke, kwenye uume kumekuwa na hali ya usaa

    Habari Wadau, kama wasemavyo mficha maradhi kifo humuumbua, kwa namna moja huenda kuna mtu ashawahi kupitia changamoto kama hii anaweza nipa ushauri? Nilikutana na mwanamke baadae nikasikia hali ya muwasho, katika uume wangu nikaenda dukani nikanunua Azuma nikanywa, ila baadae kwenye kichwa...
  5. Kiboko ya Jiwe

    Mke mzuri ni yule mwenye uke mzuri, kwa wanaume pia uzuri wetu ni ubora wa uume

    Hili jambo leo yanipasa nilitolee uvivu. Wengi wanasema uzuri wa mwanamke ni tabia, hii si kweli. No, big no Vijana wa kileo wanasema uzuri wa mwanamke ni sura au ukubwa wa kalio, hii si kweli. No, no, no. Mtu huitwa mwanamke kwasababu ana uke. Hivyo kama leo mwanaume akaamka na asiukute uke...
  6. Bridger

    UZUSHI Tohara hupunguza ukubwa wa sehemu za siri za mwanamme

    Wataalamu wa afya huelezea umuhimu na faida za kufanyika kwa tendo hili kwa wanaume. Baadhi ya sehemu wanaume huwa hawatahiriwi kabisa, na wengine wanaotahiri husubiri hadi mtoto afikishe walau miaka 12 ndipo afanyiwe tendo hilo kwa uoga wa kupunguza ukubwa wa viungo hivyo. Madai haya...
  7. sky soldier

    Mila zinatutesa: Kitovu kimedondokea uke wa mtoto mchanga, kwa mila zetu atakua Tasa, Baba unaambiwa ugusanishe uume ili kumfungua, utaweza?

    Nimeishiwa nguvu, Ni mambo yanayotia stress sana. Kinachoaminika kwa tamaduni zetu ni kwamba mtoto wa kike mchanga, kitovu chake kikidondokea kwenye uke wake basi ni kifungo cha uzazi, Yani hataweza kuja kuzaa (Tasa). Njia pekee ni wewe Baba wa mtoto aende kugusisha umme uliosimama kwenye uke...
  8. Ester505

    Mumewe hawezi kusimamisha tena

    Iko hivi;Kuna rafiki yangu anasema mumewe hawezi kusimamisha Tena mjegeje baada ya mshipa mmojawapo wa mjegeje kuvunjika. Huyu mumewe alienda kwa mchepuko wake,Sasa wakati wa kunyanduana ndo mchepuko akaikalia. Sasa alivyoikalia ndo mshipa wa mjegeje ukavunjika. Mumewe hakusema alivyorudi...
  9. OCC Doctors

    Uume kupoteza uthabiti wake wa kusimama

    Ni nadra sana mwanamume kushindwa kusimamisha uume, tatizo kubwa ni muda wa muendelezo wa kusimamisha uume. Hali hii huweza kusababishwa na matatizo ya kisaikolojia (kujihisi mwenye hatia, hofu, huzuni, na wasiwasi, au majukumu yanayo mkabili). Mara nyingi, hali ya uume kupoteza uthabiti wake...
  10. Wadiz

    Kuna mwanamke amepanga kuniroga ili uume wangu usifanye kazi baada ya kumwambia nataka tuachane, naomba msaada nimdhibiti.

    Habari wajameni, Kwa unyenyekevu kabisa wapendwa, jokes aside please, nakuja mbele yenu kinyonge na kuomba msaada. Kuna mdada mmoja wa kimag'hati niko nae kwenye mahusiano miezi kama mitatu. Huyu manzi yuko Bomba sana yaani bonge la pisi kali na shoo anaweza sana. Tatizo lake limetokea hivi...
  11. BARD AI

    Kupandikiza Uume Hospitali ya Benjamin Mkapa ni Tsh. Milioni 6 hadi 10

    Hospitali ya Benjamin Mkapa imetaja gharama za kupandikizwa uume kuwa ni kati ya Sh6 milioni hadi Sh10 milioni. Hayo yamesema leo Jumanne Agosti Mosi mwaka 2023 na Mkurugenzi Mtendaji wa hospitali hiyo, Dk Alphonce Chandika wakati akielezea vipaumbele vya bajeti kwa mwaka wa fedha 2023/24. Dk...
  12. BARD AI

    Jinsi upandikizaji wa Uume unavyofanyika kwa wenye tatizo la Nguvu za Kiume

    Huduma ya upandikizaji uume iliyotangazwa hivi karibuni na Hospitali ya Benjamin Mkapa iliyopo Dodoma ilizua mjadala, huku wengi wakipiga simu kuulizia huduma hiyo. Hospitali hiyo ilifanya upasuaji huo wa kwanza kwa kushirikiana na chama cha Madaktari Bingwa wa Upasuaji wa Mfumo wa Mkojo nchini...
  13. Chachu Ombara

    KWELI Kufanya mapenzi mwanamke akiwa juu ni hatari kwa afya ya uume wa mwanaume

    Wakati napitia pitia mitandaoni kutafuta style mpya kwa ajili ya shangazi yenu ndio nikakutana na hili bandiko kuwa aina ya kujamiiana huku mwanamke akiwa amemkalia mwanaume juu ('woman on top' or 'cowgirl' or 'reverse cowgirl'), hatari kwa afya ya mwanaume kwani hupelekea maumivu makali kwani...
  14. under timer

    Uke unabana hata uume haupiti ila sio bikla, au kalogwa?

    Habari, siku nne zimepita tangu nipate jiko(mke) Siku ya kwanza tumeshiliki bila shida yoyote, siku iliyofata uke ukabana kiasi kwamba hata vidole viwili haviwezi kupita, tukajipa moyo kesho ake tukaweka hadi mate lakn hakuna kitu tumewashilikisha mashangazi wao pia hawaelewi nini cha kufanya...
  15. Majighu2015

    Ukitaka kujua ukubwa wa uke au uume wa mpenzi wako kabla ya kuingia kwenye mahusiano

    Habari zenu wapendwa, Natumai ni wazima kabisa na mnaendelea vyema na majukumu ya ujenzi wa Taifa Kijana uwe wa kike au wa kiume ni lazima uijue japo kwa uchache elimu ya maumbile ya ndani kwa kusoma maumbile ya nje yaani kwa kumtazama usoni na miguuni tu au maumbile yaliyoruhusiwa kumtazama...
  16. M

    MITINDO YA KUJAAMIANA YAWEZA KUVUNJA UUME

    Utafiti uliofanywa na idara ya magonjwa ya mfumo wa mkojo katika Hospitali ya Benjamin Mkapa umebaini mitindo ya kujamiiana inaweza kusababisha uume kuvunjika. Utafiti huo unaeleza miongoni mwa mikao hiyo ni mwanamke kukalia uume. Utafiti huo uliochapishwa leo Jumanne, Julai 4, 2023 kwenye...
  17. Munch wa annabelletz47

    MIKAO YA KUJAMIANA CHANZO CHA AJALI ZA KUVUNJIKA UUME

    Utafiti wa madaktari wa idara ya Magonjwa ya Mfumo wa Mkojo katika Hospitali ya Benjamin Mkapa umebaini kuwa mitindo ya kujamiiana inaweza kusababisha uume uliosimama kwa muda mrefu kuvunjika. Utafiti wa madaktari hao umechapishwa kwenye Jarida la kimataifa la kesi za Upasuaji (International...
  18. Boss la DP World

    Utafiti: Mitindo ya kujamiiana Inaweza kuvunja Uume Wako

    Utafiti wa Madaktari wa Idara ya Magonjwa ya Mfumo wa Mkojo katika Hospitali ya Benjamin Mkapa umebainisha kuwa mitindo mbalimbali ya kujamiiana inaweza kusababisha uume uliosimama kwa muda mrefu kuvunjika ukiwemo mtindo wa Mwanaume kukaliwa juu na Mwanamke mwenye uzito mkubwa. Utafiti wa...
  19. Fabian Vitus

    Chanzo cha kuvimba uume siku moja baada ya tendo la ndoa ni kiashiria cha nini?

    Ndugu Wana JF, Kama Uzi unavyojieleza mwamba nimekutana na jambo, nimemshona mtoto wa mtu uko sasa siku iliyofuata natazama uume umeanza kujaa. Matabibu mliopo umu msaada katika hili, tupanuane mawazo nijue nini kinanikabili. Kuna hali fulani ya maumivu tu, naomba mnifungue ubongo 🙏
  20. T

    Takwimu: Nchi ya Cameroon yatajwa kuongoza kuwa na wanaume wenye uume mrefu zaidi barani Afrika

    Takwimu kutoka taasisi ya World Statistics imeitaja nchi ya Cameroon kua ya kwanza kwa wanaume wenye uume mrefu zaidi Afrika huku ikishika namba 2 Duniani ikitanguliwa na Equado ya Marekani ya Kusini. Angalia nchi za Afrika wastani wa urefu wa uume. 1. Cameroon sm 16.7 2. Sudan Kusini sm 16.5...
Back
Top Bottom