Why unapenda kuni attack unnecessary?umeona mchangu wangu kwenye hii mada??Uzuri ni swala pana kidogo.
Ila kama uzuri ni Stara, basi hakika ni Wazuri wapo. Japo kuna kundi lingine wamejitoa akili sana. Akina Mwajuma, Zainab, Asha, Fetty
Hizi ndizo mada anazopenda The Boss, za kuutukuza Uislamu.
Ambatanisha na picha ya mrembo mmoja wa kiislam kisha weka na ya yule wa upande wa pili tuutathimimi huo utafiti wako.warembo mno kuliko wale wa upande wa pili.
Hahaa!. Sijaku-attack Mkuu. Bali nimekuita uone aina za nyuzi unazozipenda. .Why unapenda kuni attack unnecessary?umeona mchangu wangu kwenye hii mada??
Unajipendelea au sioNdio
Unani underestimate sana..Hahaa!. Sijaku-attack Mkuu. Bali nimekuita uone aina za nyuzi unazozipenda. .
Bila shaka huu haujakukera.
Comment bila picha hainogiUnaamanisha wale wanafunzi waliotoka sudan?? Kama ndivyo, nakubali.
Kabisaaa, uje tu nikusilimishe, mwaka wa Waarabu huuHii awamu kuna haja kabisa ya kusilimu