login-logout
JF-Expert Member
- Feb 11, 2017
- 246
- 363
Mpenzi.
Mama anajua aisee amemaliza kila kitu hapo alafu Bibi anafatia. Kweli mama ni mama
Kumbe unapenda wine?nakula halafu nipate na kawine
kidogo kuyeyusha mafutaKumbe unapenda wine?
kumbe inayeyusha mafuta? inanifaa kwa hiki kitambi changu!kidogo kuyeyusha mafuta
Inafaa sema sababu unaanza jifungie chumbanikumbe inayeyusha mafuta? inanifaa kwa hiki kitambi changu!
Pole sanarip mamake slimtano.
Ale mwenyeweHuu wa BABA vipi?
![]()
Ahsante.Pole sana
Mambo hayo ndio siyawezi!Inafaa sema sababu unaanza jifungie chumbani
basi kunywa juisi ya ukwajuMambo hayo ndio siyawezi!
Huu wa BABA vipi?
![]()
Eeeeh, swadaqta. Hiyo ndio poa! Hivi si inafaaa kwa yale mambo, yale pendwa!basi kunywa juisi ya ukwaju
Naanza na wa mshkaji.. Asubuhi hiyo. Mchana dona na samaki wa mama afu jioni Ndo iyo mikuku ya mpenzi. Cha bibi kinalala kesho kitakuwa kitamu zaidi for breakfast[emoji1]